bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 642
|
| |
|
|
| |
|
awali ni awali, hakuna awali mbovu...........siamini kama yondani anaweza kuwa na mawazo ya kijinga kiasi hicho,naona viongozi wa simba wanaweweseka kwa uzembe wao.
Ni kweli, alafu unajua kama ameshatumia pesa aliyopewa kufanyia la maana ni nzuri sana, na ni mbinu nzuri hata akiambiwa kuwa bado ni mali ya Simba hatopaswa kurudisha hizo pesa, la maana atakuwa kazifanyia la maana katika maisha yake, na hata akifungiwa hamna shida, kesha vuta mkwanja tayari, hasara kwa hao wahusika, yeye bado kijana atafanya mazoezi kujiweka fit kwa usajili wa mwakani.Waongee tu wamalizane arudishe pesa za watu kama hana amani na club sio lazima ati
Teh teh SIMBA KAPAKATWA
bado mnaweweseka jamani nyie si mnakuza vipaji jamani na makinda yenu
yanauwezo eti kuliko TWITE na YONDANI sasa mwalalama nini tena.