Yona agombana na Wamarekani

Mkuu MF1
USD 700/month!! I was saying badala ya kendelea kuteseka kulipa USD 700/month kwenye nyumba ya hovyo; bora mradi wa EHTL ambao estimations ya repayment kwa mwezi ni arounf TZS 600,00 to 700,000/month!!

Hiyo USD 700/month. unailipa kwa mda gani?
Mhhh
Mshahara wa mwenye digrii wastani jamani ni ngapi? hapo lazima mtu awe fisadi kama nihivyo.

Na hata hivyo nafikiri wakati mwingine tunakimbilia maisha,sio lazima ununue nyumba ama ujenge acha wenye pesa wajenge /wanunue wengine tupange mda ukifika tutajenga,vinginevyo utanunua nyumba baada ya hapo nikutafuta jinsi ya kufisadi ili kukidhi matumizi ya kawaida ya nyumbani.
 
ok nimeelewa juzijuzi kuna jamaa yangu kapangisha nyumba dola 700 kwa mwezi hapo kijitonyama,kweli bongo watu wana pesa jamani loh!sijui nirudi nikafisadi namimi nipeni dili jama box gumu huku.
 
ok nimeelewa juzijuzi kuna jamaa yangu kapangisha nyumba dola 700 kwa mwezi hapo kijitonyama,kweli bongo watu wana pesa jamani loh!sijui nirudi nikafisadi namimi nipeni dili jama box gumu huku.

Labda jamaa yako alipingisha jengo zima, sio nyumba ya vyumba yani ni jengo,teh teh teh ni utani tu ndugu yangu.

Kwani ulipo unapobeba box apartment ya vyumba viwili ni kiasi gani? hapo hapo ulinganishe na bongo nyumba ya vyumba viwili USD 700. na uangalie uwiano wa mshahara hapo ulipo na bongo. Hapo lazima mtu awe fisadi.
 
Labda jamaa yako alipingisha jengo zima, sio nyumba ya vyumba yani ni jengo,teh teh teh ni utani tu ndugu yangu.

Kwani ulipo unapobeba box apartment ya vyumba viwili ni kiasi gani? hapo hapo ulinganishe na bongo nyumba ya vyumba viwili USD 700. na uangalie uwiano wa mshahara hapo ulipo na bongo. Hapo lazima mtu awe fisadi.
apartment na bili si zaidi ya dola 1000 tu,nashangaa kama jamaa huko wanaiona ya kawaida maana mi mwenyewe nalipa huku mawazo kibao,inaniuma
 
apartment na bili si zaidi ya dola 1000 tu,nashangaa kama jamaa huko wanaiona ya kawaida maana mi mwenyewe nalipa huku mawazo kibao,inaniuma

Jamaa wanaiona ya kawaida, na hiyo wanaiita ya watu wenye kipato cha chini ambao hawajiwezi kimapato.Umenichekesha kweli kwamba unalipa mawazo na ukiwa na mawazo kibao, hiyo ya mawazo ndo hali halisi ya waafrika wengi ugaibuni.
teh teh teh teh teh teh teh
 
Jamaa wanaiona ya kawaida, na hiyo wanaiita ya watu wenye kipato cha chini ambao hawajiwezi kimapato.Umenichekesha kweli kwamba unalipa mawazo na ukiwa na mawazo kibao, hiyo ya mawazo ndo hali halisi ya waafrika wengi ugaibuni.
teh teh teh teh teh teh teh
ni kweli naifikiria mkuu,hela yote hiyo jamaa wanachukua kwa ajili ya mjengo tu,ndio naona hapa jamaa bei hiyo ya nyumba wanasema ya kima cha chini,lazima nishangae,sema tu tofauti huku baada ysa kulipa hiyo aah huduma zote mswano huwazi mambo ya mgao wala maji kukatika,full michanel,internet 24hours,halafu wala mawazo ya mjomba sijui ndugu nani wa ukoo kuja kukutembelea ghafla hamna.
 
ni kweli naifikiria mkuu,hela yote hiyo jamaa wanachukua kwa ajili ya mjengo tu,ndio naona hapa jamaa bei hiyo ya nyumba wanasema ya kima cha chini,lazima nishangae,sema tu tofauti huku baada ysa kulipa hiyo aah huduma zote mswano huwazi mambo ya mgao wala maji kukatika,full michanel,internet 24hours,halafu wala mawazo ya mjomba sijui ndugu nani wa ukoo kuja kukutembelea ghafla hamna.

Sawa hiyo stress ya kutembelewa na mjomba gafra ama kukatika umeme inakuja ku be- equalized na sekeke la uhamiaji hapo ulipo.

Na kutokuwa na mda wako wa ku socialize na jamaa , maana wazungu wakitoka huko kazi speed kali kuelekea nyumbani kwao. Wakati bongo Kashata, harua na gahawa kwa sana.si unakumbuka kale ka kahawa kwenye ka kikombe kadogo wakati unapokuwa unasukuma kete kwenye draft.
 
Sawa hiyo stress ya kutembelewa na mjomba gafra ama kukatika umeme inakuja ku be- equalized na sekeke la uhamiaji hapo ulipo.

Na kutokuwa na mda wako wa ku socialize na jamaa , maana wazungu wakitoka huko kazi speed kali kuelekea nyumbani kwao. Wakati bongo Kashata, harua na gahawa kwa sana.si unakumbuka kale ka kahawa kwenye ka kikombe kadogo wakati unapokuwa unasukuma kete kwenye draft.
mkuu we acha tu navimiss sana hivyo,kitmoto nini vurugu za ngwasuma,twanga yaani.
 
Chanzo cha kuaminika cha habari, kinafichua siri kubwa ya maandalizi ya ulaji inayohusisha maofisa kadhaa wa Benki Kuu.

Maofisa hao wamejipanga kuandaa washirika wao kibiashara kuanzisha au kutafuta kampuni za masuala ya ujenzi na ardhi, kwa ajili ya kujichotea mabilioni hayo. Mradi huo unaohusisha BoT ulitangazwa rasmi Novemba 14, mwaka 2009.

hmm! do I smell another EPA in the making.
 
Back
Top Bottom