Takalani Sesame
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 588
- 161
Ushabiki wa kidini hautakaa ulete tija kwa nchi yetu hata siku moja. Na katika hali ya kawaida kabisa nchi hii haitakaa iwe ya waislamu peke yake, wala wakristo peke yake. Hivyo ni lazima tujifunze kuheshimiana wenyewe kwa wenyewe na kuheshimu imani za wengine. Huwezi kumlazimisha mtu aamini unachoamini wewe na kadhalika hulazimiki kuaminishwa usichoamini. Ukilijua hili, mind your own business.