Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,400
kuweni makini na haya mambo ya ushabiki wa kidini.. dini zenyewe sio zetu .. inawezekana ni majambazi wanachukulia advantage hali tete iliyopo sasa... muda kama huu ni wa kufikiria kwa pande zote mbili za shilingi... yombo na mbagala ni mbali sana so sioni connection na matukio ya mbagala..
kama kumtoa ponda hasira zao wangemaliza kituo cha polisi ....
mi nadhani ni majambazi...!
dini hizi zisiwe sababu za kuvunjika kwa amani ... wao waliotuletea hizi dini wenyewe wanatushangaa
kama kumtoa ponda hasira zao wangemaliza kituo cha polisi ....
mi nadhani ni majambazi...!
dini hizi zisiwe sababu za kuvunjika kwa amani ... wao waliotuletea hizi dini wenyewe wanatushangaa