Yombo KKKT hali si shwari

Doh makanisa yana lindwa na walinzi? doh! sijawahi ona mlinzi msikitini

Kanisa na Msikiti ni tofauti sana. Msikitini wataiba majamvi? Kanisani huwa kuna samani za thamani na vyombo vya muziki vya thamani kubwa, unategemea wasilinde? Ukiongezea na matukio ya kuvamia Makanisa na kuyachoma, unategemea iweje? Kama unaona kuwa hakuna haja ya kulinda, hao wakora walifuata nini?

Pia, Misikitini waumini wengine baada ya swala wanalala humo humo ndani, kwa hiyo hakuna cha ajabu hapo.
 
Tukio lilitokea saa 9 usiku, ni la kupangwa na hawa Waislamu feki, ila timing yao ilikuwa siyo walimpiga mapanga mlinzi mmoja wakidhani wameshamaliza kazi ili walichome kanisa kumbe walinzi walikuwa zaidi ya mmoja. ni jaribio lililoshindwa.

Nafanya mahojiano na mlinzi aliyejeruhiwa, ameshatoka Hospital na ameshonwa nyuzi kadhaa.

asante sana kwa taarifa nashukuru kupata mwanga juu ya kinachoendelea. Mungu akubariki sana kwa kazi yako.
 
Tuko bize kujenga vyuo vikuu vingi zaidi mashule na mahospital, hatuna muda huo, misikiti mingi haizidi thamani ya zaidi ya shillingi millioni 5.
Kanisa kuiba mabilioni kupitia MoU, Wakristo ndio mnaoongoza kwa ufisadi, vyeti feki...
Vipi hutaki tena kutupasha yaliyojiri?
 
Tuko bize kujenga vyuo vikuu vingi zaidi mashule na mahospital, hatuna muda huo, misikiti mingi haizidi thamani ya zaidi ya shillingi millioni 5.

kweli kabisa ninakubaliana na wewe maana bila kufanya hivyo tutarud vyuma na pia nilisahau kuwa ukimwendekeza mpuudhi na wewe utakuwa mpumbavu
 
Doh makanisa yana lindwa na walinzi? doh! sijawahi ona mlinzi msikitini

Sasa msikitini watalinda nini Mkuu?

Makanisa mengi yana vitu vya thamani kuliko unavyofikria hivyo ulinzi ni muhimu. Maana mengi unakuta yana ofisi hapo hapo ambazo zimesheheni.
 
Kanisa kuiba mabilioni kupitia MoU, Wakristo ndio mnaoongoza kwa ufisadi, vyeti feki...
Vipi hutaki tena kutupasha yaliyojiri?
Nakuwekea CV ya Pengo halafu wewe tuwekee CV ya Mufti wenu.

H.E. Polycarp Card. PENGO
Position:
Archbishop of Dar-es-Salaam
Age:
66 (Born Saturday, August 05, 1944)
From:
Tanzania
Cardinal since:
Saturday, February 21, 1998
Title:
Cardinal Priest of Nostra Signora de La Salette

Cardinal Polycarp Pengo, Archbishop of Dar-es-Salaam (Tanzania), was born on 5 August 1944 in the parish of Mwazye, diocese of Sumbawanga in Tanzania.

From 1959 to 1964 he did his higher secondary schooling at the minor seminary in Kaengesa. In 1965 he entered the major seminary in Kipalalpala for three years of philosophy (1965-67) and four years of theology (1968-71).

He was ordained a priest in the diocese of Sumbawanga on 20 June 1971 and for two years - from June 1971 to July 1973 - he was Secretary to the Bishop.

From 1973 to 1977, he studied moral theology in Rome at the Pontifical Lateran University (Academy of St Alphonsus), obtaining a doctorate. After his studies, he returned to Tanzania and taught moral theology at the major seminary in Kipalalpala for nine months in 1977. He then was made the first Rector of the major seminary in Segerea, a position which he held from 1978 to 1983.
 
Kanisa kuiba mabilioni kupitia MoU, Wakristo ndio mnaoongoza kwa ufisadi, vyeti feki...
Vipi hutaki tena kutupasha yaliyojiri?

Aiseee! Mbona husomeki? Yaani kama wanafaulishwa kwa upendeleo vyeti feki wangetafuta vya nini? Halafu wale mafisadi wenye majina ya kiislam nao ni wakristo? Au ni dual religion believers?
 
Back
Top Bottom