Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
kama nilivyoandika kwenye kichwa cha habari, nimepokea sms kwenye simu yangu ikielezea kuwa kuna watu wasiofahamika wamefika katika kanisa la yombo kkkt na kumjeruh mlinzi wa kanisa hadi kukimbizwa hospitali. Kwa maelezo ya ujumbe tukio limetokea muda huu.
Kwa wale walioko yombo naomba mtupe taarifa kama hii ni kweli
je ni watu gani hao?
Nia yao ni nini na/au kwa nini wamemjeruh mlinzi.
Nawasilisha
Kwa wale walioko yombo naomba mtupe taarifa kama hii ni kweli
je ni watu gani hao?
Nia yao ni nini na/au kwa nini wamemjeruh mlinzi.
Nawasilisha
Tukio lilitokea saa 9 usiku, ni la kupangwa na hawa Waislamu feki, ila timing yao ilikuwa siyo walimpiga mapanga mlinzi mmoja wakidhani wameshamaliza kazi ili walichome kanisa kumbe walinzi walikuwa zaidi ya mmoja. ni jaribio lililoshindwa.
Nafanya mahojiano na mlinzi aliyejeruhiwa, ameshatoka Hospital na ameshonwa nyuzi kadhaa.