Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
wakuu haya siyo maneno yangu ni ya Mwanafalsafa Julius Kambarage Nyerere aliyekuwa raisi wa kwanza wa Tanganyika huru.
Swali.
Katika wagombea hawa tulionao sasa hivi hasa wa uraisi, ni yupi kati yao anayeenda kutafuta faida pale IKULU?
Swali.
Katika wagombea hawa tulionao sasa hivi hasa wa uraisi, ni yupi kati yao anayeenda kutafuta faida pale IKULU?