Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
Medicine is not curative only but preventive too. Hivyo mtu kumuhitaji daktari si lazima awe mgonjwa anaweza kwenda kwa ajili ya kinga.

Naona Kama umelitafasili kimwili zaidi..! Lkn haina Shida la mhimu hapa jukwaan ni kujengana kimtizamo zaidi..so nimeheshim maoni yako.
 
basi waandishi walijichanganya,mchumba hawezi kupewa talaka, na kwanini joseph unadhan aliahirisha kumpa talaka ili kumfichia aibu mary? Aibu ipi, kupewa ujauzito na Mungu kuna aibu gani?.

Point yangu hapa ni neno divorce,
huwezi kumdivorce mtu kama hamjawa tayari mke na mme, ndo maana anaitwa the husband badala ya mchumba, fiencee
 
basi waandishi walijichanganya,mchumba hawezi kupewa talaka,
na kwanini joseph unadhan aliahirisha kumpa talaka ili kumfichia aibu mary?.
Aibu ipi,kupewa ujauzito na mungu kuna aibu gani?.

Point yangu hapa ni neno divorce,
huwezi kumdivorce mtu kama hamjawa tayari mke na mme,
ndo maana anaitwa the husband badala ya mchumba,fiencee
Divorce ya mke ni maana ya leo sio ya karne ya kwanza. Engagement na maruage ilikuwa ni agano la kuachana kwa divorce (hati).
 
Divorce ya mke ni maana ya leo sio ya karne ya kwanza. Engagement na maruage ilikuwa ni agano la kuachana kwa divorce (hati).
phew..very tired now,with this mind bending discussion,
muniombeee
 
phew..very tired now,with this mind bending discussion,
muniombeee
Bending? Fuatilia historia ya matumizi ya maana ya maneno throughout centuries then you know what I mean. Democrasia ya Aristotle sio maana ya leo.
 
View attachment 407842Muislam hata Quran hujui utaiwez Biblia?
Maryam hakuongea na mungu moja kwa moja.isipokua mungu alimtuma mwakilishi kama ilivyokua kwa manabii waliotangulia wanapopewa utume kupitia malaika Gabriel isipokua moses(mfano wa Mohammed) peke yake ambaye yeye alipewa utume na mungu mwenyewe.na mohammed kupitia jibril.

Swali jiulize Nani aliyempulizia Roho ya Uzima Nabii Adam na Yesu(Isa).kisha angalia nani aliyepata uzima kwa neno?na kama kila kitu kiumbwacho kwa neno ni mungu basi hata wanyama(manyani n.k) ni miungu pia.na vinginevyo.

Vile vile jiulize wewe malaika yupi aliye wakilisha roho wakati upo kwa mama yako(na mikataba gani ulisaini ingawaje sasa umesahau.na nani atakufisha)fikiria kijana......
 
Bible najua kidogo maana tulisoma chuoni na ilikua lazima na Quran nimezaliwa nayo na aliyeniumba akipenda nitakufa nayo na nitafufuliwa nayo na nitaingia pepeoni nayo na nitadumu nayo pia mpaka mmiliki atakapo amua
Ze seeker we ni msema kwel Mkuu hongera kwa hilo,Allah(s.w) akupe tawfiq!!..
 
Hayo maandiko yako uliyotoa kama ungekuwa unatumia akili kufikiria. Kwahiyo yesu alijizaa? Na je yesu huyo huyo ni mwana na ndio huyo huyo baba? Shirikisha ubongo wako?
Nilichogundua ni kuwa akil huna,umekaririshwa ujinga unatak kusumbua watu!!..acha niendelelee kuamin na wew endelea kumwamin huyo WAMAPANGONI
 
imekaa vizuri Sura halisi ya Koran.... Kumbe Pepo ya Uislam ina Vilevi? kwa wale wanywao... nadhani watakafika huko break ya kwanza ni kwenye huo mto wa ulevi sipati picha wakitapika...

Hapo ndipo kuna utofauti na Pepo ya Wakristo inasema huko Hakuna kula,kuugua wala Mateso..

Mkuu weka na kile kipande cha Wanawake wenye makalio makubwa Saba peponi yaani ukifika huko ni kula mzigo mwanzo mwisho... ila Sharti lake ufanye Ugaidi:D:D:D:D

Ghafla visenti sina nimerudi Jamii forums....:D
Ngoja nilale mkuu kesho nayabandika hapa yote,MTUME wao kawadangany kinona,1:ETI WAKIKOSWA MAJI BAAD YA KUTOK CHOON AU KUFANYA MAPENZI WAJIPAKE UDONGO USON NA NA MIKONON SI0 WEHU UO?
2:MBINGU YAO INA POMBE(TUSKER)KWA WANYAO
3:pEPONI WANAENDA KUOA WANAWAKE (MAHURULAIN) 70 KILA MMOJ,
4:WAKIUA AU KUJIUA WANAPEWA PEPO
5MAJINI(MAPEPO) YAMESILIM(NI MAISLAMU)
6:ETI QURAN NI BORA KULIKO BIBLIA
7:MUNGU ANAPENDA WANAOPIGAN NA KUJITOA MHANGA ANAWAPA PEPO,
KESHO YOTE HADHARAN MSIDANGANYE WATU NA MAFUNDISHO YENU YA AJAB!!,
 
Maryam hakuongea na mungu moja kwa moja.isipokua mungu alimtuma mwakilishi kama ilivyokua kwa manabii waliotangulia wanapopewa utume kupitia malaika Gabriel isipokua moses(mfano wa Mohammed) peke yake ambaye yeye alipewa utume na mungu mwenyewe.na mohammed kupitia jibril.

Swali jiulize Nani aliyempulizia Roho ya Uzima Nabii Adam na Yesu(Isa).kisha angalia nani aliyepata uzima kwa neno?na kama kila kitu kiumbwacho kwa neno ni mungu basi hata wanyama(manyani n.k) ni miungu pia.na vinginevyo.

Vile vile jiulize wewe malaika yupi aliye wakilisha roho wakati upo kwa mama yako(na mikataba gani ulisaini ingawaje sasa umesahau.na nani atakufisha)fikiria kijana......
Ze seeker kifup ni kuw hakuna nabii yeyote aliyewah kuwep dunian wala Mtume yeyote wala malaika aliye mkuu kumshinda YESU jaman,anza na Ibrahim,Musa,Suleiman,yona(yunus) Yohana Mbatizaj(Yahya)Daud,Muhammad,hata Malaika Jibril(Gabriel) halingan CHEO na Yesu,USHAHIDI,(Baada ya kusoma haya niambie YESU ni nan?..
1475017543198.jpg
1475017555076.jpg
1475017587585.jpg
1475017600074.jpg
1475017658339.jpg
1475017765250.jpg
1475017777187.jpg
1475017881926.jpg
YESU NI NANI KAMA NI MKUU KULIKO HAWA WOTE?
 
Hapo mwanzo palikuwako Neno,naye Neno alikuwako kwa Mungu,NAYE NENO ALIKUWA MUNGU.
Vyote vilifanyika kwa huyo;wala pasipo yeye hakukufanyika chochote kilichofanyika.
Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima,nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
Nayo nuru yang'aa gizani,wala giza halikuiweza........

.....naye Neno ALIFANYIKA MWILI,AKAKAA KWETU;nasi tukauona utukufu wake,utukufu KAMA wa MWANA PEKEE ATOKAYE KWA BABA,amejaa neema na kweli...

.....Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote;Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba,HUYU NDIYE ALIYEMFUNUA.

Kwa undani someni Injili ya Yohana 1:1-18.
Huyo ni mtume Yohana aliyeishi na Yesu na alikuwa karibu naye sana.

Sasa someni tena Yohana 10:22-36,huku mkijaribu kupata context ya nini Yesu alikuwa anabishana na wayahudi.Walitaka kumpiga mawe sababu ya kujiita Mungu.

Pia kasomeni Mathayo 26:63-68 majibizano ya Yesu na Kuhani mkuu yalihusu nini hadi wakamtia hatiani Yesu na kumsulubisha.
Ni nini kesi ya msingi iliyosababisha Yesu akasulibiwa?Someni biblia inaeleza vizuuri tu jamani.
 
Dukeson mimi naomba niiandike hiyo paragraph yote hapa ili wavivu wa kufunua Biblia waisome,this is among my favourite bible verses maana huwa nikimaliza kuisoma nakauka mbavu!

"Wayahudi wakajibu,wakamwambia,je!sisi hatusemi vema ya kwamba wewe u Msamaria,tena una pepo?Yesu akajibu,Mimi sina pepo,lakini mimi namheshimu Baba yangu,na ninyi mwanivunjia heshima yangu.Wala mimi siutafuti utukufu wangu;yuko mwenye kutafuta na kuhukumu.Amin,amin nawaambia,mtu akilishika neno langu,hataona mauti milele.

Basi Wayahudi wakamwambia,Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Ibrahim amekufa, na manabii wamekufa;nawe wasema, Mtu akilishika neno langu hataonja mauti milele.

Wewe u mkuu kuliko baba yetu Ibrahim, ambaye amekufa?Nao manabii wamekufa. Wajifanya u nani? Yesu akajibu, nikijitukuza mwenyewe, utukufu wangu si kitu; anitukuzaye ni Baba yangu ambaye ninyi mwanena kuwa ni Mungu wenu.Wala ninyi hamkumjua; lakini mimi namjua.

Nikisema ya kwamba simjui,nitakuwa mwongo kama ninyi; lakini namjua,na neno lake nalishika. Ibrahim, baba yenu, alishangilia kwa vile atakavyoiona siku yangu; naye akaiona, akafurahi.Basi Wayahudi wakamwambia, Wewe hujapata bado miaka hamsini, nawe umemwona Ibrahim?

Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Yeye Ibrahim asijakuwako, MIMI NIKO. Basi wakaokota mawe ili wamtupie;lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni."
Hiyo ni Yohana 8:48-59.

Nilipoona Yesu,akiwa kijana mdogo, anawaambia jamaa kuwa alikuwepo kabla ya baba yao IIbrahim aliyeishi na kufa miaka takriban 2000 kabla ya hapo, nilijua kinachofuatia ni wayahudi kuokota vitofari tu:D:D:D

Sasa hebu angalieni context ya hiyo paragraph hapo, ni ujumbe gani mnapata about Jesus?
 
Nilichoeleza mimi ni kwamba Yesu sio Mungu. Na ndio maana nimetoa andiko la yohana 20:17 yesu akisema kuwa Mungu wake anayemuabudu yeye ndio Mungu wetu sisi sote. Sasa toa wewe ufafanuzi wa yohana 20:17
mmoja wa wanafunzi wake alimuuliza akisema ""tuonyeshe baba yatosha,naye akawajibu akisema muda wote nimekaa nanyi hamjamjua baba?baba yu ndani yangu nami ni ndani ya baba"""
 
Baada ya Mungu kuumba vitu vyote yeye mwenyewe alitamka kwa kinywa chake,"na sasa tumfanye(tumuumbe)mtu kwa mfano wetu na kwa mfano wake akamuumba mtu ambae ni Adam.

Katika kitabu cha Mwanzo panadhihirisha kuwa Mungu anafanana na sisi. Wale wanaosema Mungu hafanani na kitu chochote watuambia Mungu anafanana na kitu gani na ni nani aliewahi kumwona huyo Mungu. Kama mtu hajawahi kumwona wala kusimuliwa habari za nyati mtu huyo hana nguvu ya kusema kuwa nyati anafanana au hafanani na ng'ombe.

Kama Mungu hafanani na kitu chochote sasa utajuaje kama hafanani na chochote wakati hakuna aliewahi kumwona akifanana na chochote !!.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom