Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Yani naandika hapa huku nacheka sana!Wimbo huu wa Mory Cante(sijui nimepatia spelling za hili jina!)ndo nausikia kwenye kituo kimoja cha radio muda huu,nakumbuka kama sikosei kwa mara ya kwanza nilipokuwa nausikia mwaka 1987 tulikuwa na michezo ile ya baba na mama,tulikuwa hatujali kama huo ubaba na umama uliwahusisha ndugu,na sio siri hata ile "michezo" ya baba na mama!!(naimani Mungu ametusamehe)Au mnabisha?Nimecheka sana!