HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
Naam.Kama muumini wa mungu ndiye wewe mwenye maneno ya dharau na kejeli ya kuniita mimi pimbi, mungu huyo sina haja naye.
Sikuwa nakutusha. Kama umeona kutushwa ni hija, hiyo ni inferiority complex yako tu.
Unasema huwezi kuendelea kubishana na mimi kuhusu uwepo wa mungu wakati kusema hivyo tu ni kuendelea kubishana na mimi kuhusu uwepo wa mungu.
Wapi nimesema nategemea lolote kutoka kwako?
Unajua kusoma wewe?
Kwa nini nikubali kutokujibu wakati mtu mwenyewe hata hoja huna, hutathibutusha kuwepo kwa mungu, umejaa kauli za hasira na kejeli ambazo hazikuonyeshi kuwa mtu wa mungu.
Sasa wewe mtu unayeamini kuwepo kwa mungu na mimi nisiyeamini tyna tofauti gani kama wewe huwezi kujitofautusha?
Hujathibitisha kuwepo kwa mungu.
Mpaka utakapothibitisha, imani yako ya uwepo wa mungu ni ndoto ya kitoto tu.
Mimi ni Binaadam na si Malaika na usitegemee uniletee michongo isioleweka nikubali halafu nikae kimya, eti kwasababu ni muumini wa Mungu.
Hapana, ukilianzisha ujue hiyo haiwi kinyonge.
Wewe jamaa una mushkeli, sio kosa lako.
Mimi nakushauri rudi tu kwa Muumba wako, na urudi kama zamani kusoma Biblia yako.
Wewe unafikiri usingenipanda kichwani, ningeyasema haya yote niliyoyasema.
Tokea juzi nilijitahidi sana kuwa chini ili kukuridhisha wewe ili tuachane kiusalama na kwa amani, na nilijitahidi sana kuwa mnyenyekevu.
Lakini nashangaa wewe bado unataka nikuthibitishie uwepo wa Mungu, inasikitisha sana.
Hivi Kiranga huna kingine chochote cha kuchangia lazima iwe kuthibitishiwa uwepo wa Mungu!
Hivi wewe jamaa huchoki?
Acha Ligi zisizo na manufaa.
Halafu naona kila post unayoleta "unajua kusoma wewe" ndio neno lako kuu, inaonesha kwa kiasi kikubwa kuwa huna hoja bali unataka tubadilishane maneno.
Ngoja nikuulize swali lenye msingi kwanza:-
Hivi Kiranga wewe umeshatahiriwa?