Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,376
Nafikiri lipo tatizo hapa. Mungu hayupo sawa sasa tunabishania nini hapa ? Hawa unaowatetea wanafanya nini hapa Tanzania?
Unajuwa kama hujaamuwa akilini mwako hii thread inazungumzia nini basi bora utulie.
Mungu hayupo, napinga huu upuuzi unaoletwa kwa jina la mungu, kuanzia wimbo wa taifa.
Hao ninaowatetea ni Watanzania na wapo kwao Tanzania, au hujui kwamba kuna Mashahidi wa Jehovah Tanzania?
Exposure, exposure tatizo kubwa