Ye Soya JF-Expert Member Nov 24, 2011 237 248 Nov 24, 2011 #1 Wanajamii nadhani mko tayari kunikumbatia kama ishara ya kunipokea, natanguliza shukurani...
Mtego wa Noti JF-Expert Member Nov 27, 2010 2,591 1,599 Nov 25, 2011 #3 jumong uko wapi? ye soya kaja, njoo umchukue....
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Nov 25, 2011 #5 mnh usiruhusu kukumbatia wengine huwa wanang'ang'ania,haya karibu
V valid statement JF-Expert Member Sep 18, 2011 2,851 868 Nov 25, 2011 #7 Ye soya ni lady. Are you a lady? Karibu jf.
Ye Soya JF-Expert Member Nov 24, 2011 237 248 Nov 25, 2011 Thread starter #9 kwa anayeulizia jinsia nadhani picha/avatar na jina vinajieleza....naandika nikiwa huku korea....nawamiss watz
kwa anayeulizia jinsia nadhani picha/avatar na jina vinajieleza....naandika nikiwa huku korea....nawamiss watz
Ye Soya JF-Expert Member Nov 24, 2011 237 248 Nov 25, 2011 Thread starter #10 asante sana kwa ukarimu chatu dume said: Karibu sana! Click to expand...
Ye Soya JF-Expert Member Nov 24, 2011 237 248 Nov 25, 2011 Thread starter #11 asante kwa kunishauri mkuu.ntakuwa makini hasa kwa hao wanaong'ang'ania... mikatabafeki said: mnh usiruhusu kukumbatia wengine huwa wanang'ang'ania,haya karibu Click to expand...
asante kwa kunishauri mkuu.ntakuwa makini hasa kwa hao wanaong'ang'ania... mikatabafeki said: mnh usiruhusu kukumbatia wengine huwa wanang'ang'ania,haya karibu Click to expand...
Ye Soya JF-Expert Member Nov 24, 2011 237 248 Nov 25, 2011 Thread starter #12 chatu dume jina lko linatisha...umeshameza wangapi???????
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,850 155,799 Nov 25, 2011 #13 Kinega wa ukweli nakukaribisha kunako jamvi
Sniper JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,915 709 Nov 28, 2011 #14 Karibu JF, Karibu mkumbatio wangu na mabusu teletele, nakukaribisha kwa mashamsham na mabashasha.