Yaweza Kutokea TZ? (Disturbing Pictures)

Nakuunga mkono kabisa. Pamoja na kuwa sikubaliani na tabia ya kuwagandamiza wengine lakini pia sikubaliani na wenye mawazo duni ya kutumia nguvu kupata kile wote tunachokitamani. The mouth speaks what the heart has. The evil tree can not bear good fruits let us not think of these evil things there are better ways of getting to our destiny and if u do ur part faithfully surely the situation will change from what we have to a better state. Acheni kuilaani nchi yetu na kamwe hatutakubali iwe hivyo we will use the right weapons to fight as we already have experience on that; the foundation which was laid by the founders of these nations. We are unique; perculiar people not found any where in this world; blessed are we and blessed shall we remain. No weapon fassioned against us shall prosper; for sure a thousand shall fall on our left side and ten thousands on our right side.


Nchi zote zenye maendeleo ya kweli kulikuwa na vitu kama hivi: ukianzia Taifa Kubwa kama Marekani/Japan/UK/Russia/Korea/China/German/France/Italy baada ya civil war mambo ndo yakawa mazuri lakini kabla ya hapo ilikuwa kama Tanzania/Liberia/Uganda/Kenya etc. Kwa hiyo Tanzania kupata maendeleo lazima tupitiye mfumo huu wa civil war, hakutakuwa na cha Chenge/Mkapa/Azizi/ na mafisadi wengine tena.
 
Linaweza kuwa chaguo la Mungu leo lakini sio kesho. Nakumbuka kwenye Biblia Mungu alimchagua Sauli kuwa mfalme na akapakwa mafuta kisha akawa mfalme wa Israeli-Taifa Takatifu la Mungu. Baada ya kumkosea Mungu alikataliwa kuendelea kuwa mfalme na akateuliwa mfalme Daudi kushika nafasi yake. Kwa hiyo ukimgeuka Mungu na kufanya yaliyo kinyume na mapenzi yake sio atakuacha tu bali hukumu ya milele inakusubiri. Nyerere angejua Mkapa atakuwa fisadi (kama wanavyodai wengi) nina uhakika asingempigia debe hadi akawa rais. Kuendekeza udini kutachanachana taifa letu siku za usoni. Dalili za mgawanyiko wa kidini sio suala la siri tena!
 
Ah! Mimi napata mashaka Mungu hakiwa Hana msimamo... Na Haswa hakiwa hajui anacho kitaka!
 
Ah! Mimi napata mashaka Mungu hakiwa Hana msimamo... Na Haswa hakiwa hajui anacho kitaka!
mnafikiria liberia ilianza vipi? hivi hivi tu wananchi wanachoka......
079A.jpg


dogo kama ana act movie vile.......
 
Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people

Tatizo moja kubwa tulilonalo hapa nchini kwetu ni unafiki; tunafukia vichwa vyetu mchangani kama Mbuni tukidhani tumejificha! Jinsi mgawanyo wa rasilimali za nchi yetu unavyokwenda, pengo kati ya matajili na masikini likizidi kuongezeka ndio jinsi nchi yetu inavyozidi kukaribia machafuko kama picha hizo zinavyoonyesha. Yamekwisha anza kule Aru Meru ambako risasi zimerindima na wanachama wa Deci pia wamepambana na askari; hivi vyote ni viashiria kuwa all is not well!!
 
Mambo ya Mungu ni mpaka uamue kuelewa ndipo utakapoelewa. Otherwise utaendelea kuwa na mashaka!
 
Namuunaga mkono Kituko kwa hali ya TZ sasa hivi, hasa kule ZNZ. Ndio maana kwa mtazamo wangu mimi ili kuundosha huu mlundikano wa madhila, hawa mafisadi wangepewa adhabu ya kunyongwa ndani ya miezi mitatu tu baada ya kutiwa hatiani.

Ufisadi ni moja ya mambo makuu yanayopelekea madhila kwa wananchi mpaka wakawa 'irrational" namna kama hii. Mwenyezi Mungu atunusuru.

Natoa hoja
 
"Yaweza kutokea TZ?"

Thubutu!........... Big up to Marehemu Baba wa Taifa.....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ndugu wacha kuharibu picha nzuri ya nchi yetu -- tanzania ni moja , ina amani upendo na utulivu haijawahi kuwa na mchafuko wala kuzalisha askari wadogo wapiganaji please respect our country and its people

watu wenye akili na mawazo ya namna hii ndio wanaopiga kelele tu juu ya matatizo ya nchi hii bila kuwa na solution..when worse come to worse this is possible in Tanzania..usijidanganye eti amani ya tanzania itakuwapo milele kwa ujinga na upuuzi unaofanywa na viongozi wa nchi hii..kama leo watu wanakwapua masanduku ya kura na kukimbia nayo what do u expect?? Ni vita...,Niko ukurasa mmoja wa wewe mkuu X-Paster
 
Je nchi yetu ina utawala bora kuweza kuzuia haya yasitokee?
 
Hao Ni wananchi wenye hasira kali! Ilitokea Burundi, Rwanda, Somalia, Iraq, nk... Kwa nini isitokee Tanzania? Siku zote Kinga Ni Bora kuliko tiba!!! Tusijidanganye!
 
inawezekana kutokea kwani hata huko hawakupanga yatokee ila hali ndiyo iliyosababisha. Kinga ni bora kuliko kinga. kama tutaendelea na mambo yalivyo sasa kwamfano mtindo wa watawala kurithishana utawala, Natabiri: Itatokea
 
Kuna majinamizi yanaitwa OIC na Mahakama ya Kadhi. Haya mawili yananyemelea amani na mshikamano wa watanzania. Hakuna vita vibaya visivyoisha kama vya kidini. Angalia Middle East amani imeshindwa kupatikana kwa kuwa vita vyenyewe, japokuwa vinazungumzwa na kujaribiwa kutatuliwa kisiasa lakini ni la kidini. Serikali kama inataka kuwagawa watanzania na kuleta machafuko mabaya iendekeze udini na kuvunja Katiba ya nchi!
Hivi wewe mahakama ya kadhi na OIC ndo umeona ni chanzo cha mapigano?!!!!!! hebu tupe mfano wa nchi yoyote duniani OIC na Mahakama ya Kadhi vimesababisha vita acha fikra za udini ongea vitu vyenye mashiko. Labda wewe unayepinga ndo unaweza kuanzisha vita. Toa maoni ya msingi si yaliyojaa udini na chuki za kidini.
 
Mungu apitishie mbali hali hiyo
Inawezekana lakini; watu wana hasira sana na nchi hii na uongozi wake wote maisha yazidi kuwa magumu siku hadi siku wakati wachache wa mamilioni ya watz ndo wenye neema. hata kama itatokea watakaoumia ni sie wananchi wale wa juu wataondoka mapema na kutuachia msala wa dhoruba hiyo.
 
Kujadili kumwagika kwa damu haimaanishi damu ndo itamwagiga, the opposite is true as well.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom