Yatambue maneno haya kwa kiswahili

RASHEEDMTOI

Member
Apr 13, 2015
85
68
The Kiswahili lesson you missed.
1. password- Nywila.
2. juice - sharubati.
3. chips - vibanzi.
4. PhD - uzamifu.
5. Masters - uzamili.
6. Degree - shahada.
7. Diploma - stashahada.
8. Certificate - Astashahada.
9. keyboard - kicharazio.
10. scanner - mdaki.
11. Flash disk - diski mweko.
12. Mouse - kiteuzi.
13. Floppy disk - diski tepetevu.
14. Computer virus - mtaliga.
15. Distillation- ukenekaji.
16. Evaporation - mvukizo.
17. Synthesis- uoanishaji.
18. Oesphagus- umio.
19. Green house - kivungulio.
20. Femur - fupaja.
21. Germ cell - selizazi.
22. Humus - mboji.
23. Nector - mbochi.
24. Nector - Ntwe.
25. Nutrients - virutubisho.
26. Appetizers - vihamuzi.
27. ATM - Kiotomotela.
28. Bussiness card - kadikazi.
29. scratch card - kadihela.
30. simcard - kadiwia/mkamimo.
31. memory card - kadi sakima.
32. micro wave - Tanuri ya miale.
33. Laptop - kipakatarishi.
34. power saw - msumeno oto.
35. Duplicating machine - kirudufu.
36. photocopier- kinukuzi.
37. cocktail party - Tafrija mchapulo.
38.Air conditioner- Kiyoyozi.
39. lift- kambarau
 
kuna maneno mengine kwenye hiyo orodha kuyatumia katika mazungumzo ya kawaida kama kwenye tafrija mchapulo lazima ulimi uombe samahani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom