K kaleju Member Jan 27, 2011 48 2 Nov 20, 2011 #1 Hivi kwani katiba mpya ni ya m2 binafsi,chama au wananch sote? Basi mi vyama vya siasa vinavyojisifu kua ndowaanzilish wa mchakato huo wananiudh.
Hivi kwani katiba mpya ni ya m2 binafsi,chama au wananch sote? Basi mi vyama vya siasa vinavyojisifu kua ndowaanzilish wa mchakato huo wananiudh.
M Mbopo JF-Expert Member Jan 29, 2008 2,532 413 Nov 20, 2011 #2 Ni kukosa hoja ya kuwaambia wananchi!