mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
- Thread starter
- #61
Na huyo tu jamaa ana wivu wa kike
shika adabu yako wewe
Na huyo tu jamaa ana wivu wa kike
mbona haueleweki? mara mil200 mara mil20, sasa tuelewe lipi?
Hongera zao na mungu awazidishie,walipokuwa wanaanza tuliwacheka sana wamefanikiwa badala tuwapongeze tunawaponda hakika hasidi hana sababu lol!
Tukijadili mambo ya kitaifa itakuwa bora zaidi, suala la kununua gari la bei kubwa siyo issue, think critically!
Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona washamaliza kila kitu kumbe ndo kwanza safari ndo inaanza...vilaza sana hawa jamaa
ni kweli bt kaka ndo wachukue ya mil20
kweli? Hivyo vifaa bado wanatumia bado ni vya third party....kwa hamna magari mazuri tu comfortable japo ya mil50?
we nawe mambo ya taifa gani? Tusipumue kujiburudisha na udaku kidogo mara ooh taifa hilo taifa toka tumeanza kulizungumza hakuna lolote zaidi ya shida kuongezeka
kununua gari la gharama kupita maelezo ni tabia ya most of sisi tanzanians.... Yaani sie ni watumiaji kuliko kutunza pesa... Ni sawa tu na simu, mtu unamshahara wa laki nane (tsh. 800,000/=) na wala huna shughuli nyingine but simu ulonayo ni 1.2 m....
Kwanza nipe aina ya magari waliyonunua, pili naomba unithibitishie habari yako kwa ushahidi unaoingia akilini vingievyo nitajua umekurupuka kwa kuangalia magari yanayotumika kwenye magari ukajua ni ya kwao.Eti kila mmoja kanunua gari la mil 200 yale yaliyowashinda wabunge, hawa jamaa zimo kweli? Hawajawa bado masuper star ndo hivo je wakiwa? Ulimbukeni bwana ni kitu kibaya sana, wao wanaona washamaliza kila kitu kumbe ndo kwanza safari ndo inaanza...vilaza sana hawa jamaa
Bedford ni bora zaidiwamenunua magari gani? Toyota Stout au Datsun? Au wamefunika kabisa kwa kununua Bedford na Leyland Daf?
Mi nashauri wangenunua Isuzu Injection