Yanga yavunja rekodi

Simba kapakatwa na Demu wake!
Demu wa Simba amejaaliwa masaburi ya haja....
Simba rahaaa!
 
Sijui kwanini tunakua na jazba yanga akipakatwa........... juzi hapa simba alipakatwa watu wakakubali, tatizo liko wapi leo kandambili kuweka masaburi yake kwa mnyama?
Simba walikubali kwakuwa walipakatwa na mademu zao.....

Yanga wanakasirika kwakuwa wamepakatwa na mabasha zao
..............
 
Licha ya jana kuchapwa na Simba SC, nawapa saaaana hongera maana wameingia tena kwenye rekodi; jana Mabingwa wa Kagame ambao impliedly in Mabingwa wa Afrika Mashariki, Sudan na Pembe ya Africa walivunja rekodi kwa klabu zilizopo kwenye eneo hili

Hii ndio kwa mara ya kwanza regional champion kupigwa bao nane ndani ya mechi tatu................duu hii haijawahi kutokea kabisa........Yanga
mnatisha................magazeti, radio kimya kabisa mimi nilidhani front pages za magazeti zitafunikwa na habari hii ya Yanga kuvunja rekodi

Soka haliko hivyo uzuri wa timu huwezi kupimwa kwa kushinda au kushinda, najua utanishangaa, Barcelona waliichapa Man utd kama imesimama vile, lakini angalia walivyo maliza ligi ya hispania kwa sare na baadhi ya mechi kufungwa
 
Yanga Kutisha Msimu
Fabregas we acha tu
Kiiza aja kuifundisha simba Mpira
Simba kuutafuta mpira kwa tochi kesho
Yanga full mtambo kummeza mnyama

......................mmhh kimya...............mnyama kafyonza hadi bone marrow hata safari ya Bungeni imeahirishwa. Vipi zile Tshirts zilizoandaliwa pale DTP mikocheni mmeshazichoma moto?
 
heshima iko juu sasa hivi,hata kama ni kimyakimya.hakuna kelele na mtaani ni amani ya kutosha.wangeshinda hawa mafisadi kero ingekuwa kubwa mno,hata magazeti yasingesomeka!

magazeti yetu yanaiponza yanga sana.wanadanganywa na kukuzwa utafikiri wana kiwango hata cha jkt ruvu kumbe hawawezi kuunganisha hata pasi kumi mfululizo bana!wengi wa waandishi na wahariri ni mashabiki,sio mbaya,ila wangekuwa wakweli kwa klabu yao wangewasaidia sana kujitambua madhaifu yao.sasa hivi amani ya kutosha mtaani na hakuna kelele za kiwango kikubwa cha magazetini!

kweli Boban noumer!!
 
Licha ya jana kuchapwa na Simba SC, nawapa saaaana hongera maana wameingia tena kwenye rekodi; jana Mabingwa wa Kagame ambao impliedly in Mabingwa wa Afrika Mashariki, Sudan na Pembe ya Africa walivunja rekodi kwa klabu zilizopo kwenye eneo hili

Hii ndio kwa mara ya kwanza regional champion kupigwa bao nane ndani ya mechi tatu................duu hii haijawahi kutokea kabisa........Yanga
mnatisha................magazeti, radio kimya kabisa mimi nilidhani front pages za magazeti zitafunikwa na habari hii ya Yanga kuvunja rekodi

Mie naikumbuka RECORD hii
1- TP MAZEMBE 3 SIMBA 1
2-SIMBA 2 TP MAZEMBE 3
3-WAYDAD 3 SIMBA 0
4-DC MOTEMA PEMBE 2 SIMBA 0

matokeo haya ndani ya wiki 5 tu
 
HII HUIKUMBUKI: YANGA 1 3 EL HILAL
YANGA 1-3 EL HILAL
YANGA 0-2 SIMBA

Au umepoteza uwezo wa kutunza kumbukumbu kichwani mwako?
 
Simba kapakatwa pub
<br />
<br />
YANGA walikalia kipande cha nyama kikazama chote hii ni zaidi ya kupakatwa.Ajabu ni kwamba daktari wao SAM TIMBE amewapima na kuona kuwa mimba ishatungwa tena mapacha 2 na kuwahakikishia mashabiki wake kuwa wasubiri tu kuzaliwa kwa watoto hao.
 
Simba mtaishia kushinda mechi za UBAO WA HISANI!! Yanga wameshachukua makombe yote mwaka jana halafu Simba jana wanakomaa ili walau washinde huyo UBAO WA HISANI. Simba walitakiwa wakomae mwaka jana ili walau huenda wangegawana vikombe na Yanga.

Mnyama ndio kaanza hivyo kuwanyang'anya mataji yote msimu huu. Mtakoma! Kwa kupigwa bao nane ndani ya mechi tatu inadhihirisha kubebwa kwa Yebo Yebo Kagame. Hawakustahili ubingwa huoi!
 
<span style="font-family: comic sans ms">Yanga wanagombea na kushinda vikombe sio vifuniko aka Ngao ya hisani. Subirini kwenye ligi</span>
<br />
<br />
Habari zenu bhaaana wanajangwani! Ina majotrooo!MMMBWA nyie aibu imewakumba ndio maana mnaongea km walevi tu;haiwezekani mtani kuliwa daku mzima mzima 2-karai.AIBU kubwa yaan ningekuwa mi ningeshabikia hata LIPULI ya Iringa kuficha hii aibu.
 
kwan uongo yan nyie malapa mmefulia hamumuwez mnyama nyie mwisho wenu chooni mjini hamuendi ngo!
mambo ya kupakatwa ni u**nge tu na huyo mwenye hiyo pub lazima tuichome!
 
Mie naikumbuka RECORD hii <br />
1- TP MAZEMBE 3 SIMBA 1<br />
2-SIMBA 2 TP MAZEMBE 3<br />
3-WAYDAD 3 SIMBA 0<br />
4-DC MOTEMA PEMBE 2 SIMBA 0<br />
<br />
matokeo haya ndani ya wiki 5 tu
<br />
<br />
Na mimi nakukumbusha tu na haya pia:
Polisi dodoma 2-1 Yanga
El-hilal 3-1 Yanga
Yanga 1-3 El-hilal
Yanga 0-2 Simba.

Na kesho lazima mchezee kichapo kwa JKT Ruvu.
 
Yanga yajikakamua jana- yachapwa bao moja tu JKT Ruvu. Hongera sana Yanga mmepunguza idadi ya magoli kwa mwenendo huu mechi ijayo mtatoa sare.

Mechi tano mnapigwa mfululizo................
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Na mimi nakukumbusha tu na haya pia:<br />
Polisi dodoma 2-1 Yanga<br />
El-hilal 3-1 Yanga<br />
Yanga 1-3 El-hilal<br />
Yanga 0-2 Simba.<br />
<br />
Na kesho lazima mchezee kichapo kwa JKT Ruvu.
<br />
<br />
mkuu utabiri wako n'meukubali;kweli we ni shekh Yahya.Lkn ili yanga wasiendelee kupakatwa itawabidi wakaondoe gundu bungeni hata km hawajashinda
 
Enyimba 4- Simba 0
Enyimba 3- Simba 1

Na hizo ni mechi mbili tuu ...au mmesahau ,Bao sba katika mechi mbili!!!!!!!!!!
 
<font color="#ff0000"><b>Enyimba 4- Simba 0<br />
Enyimba 3- Simba 1<br />
<br />
Na hizo ni mechi mbili tuu ...au mmesahau ,Bao sba katika mechi mbili!!!!!!!!!!</b></font>
<br />
<br />
Mkuu hizi takwimu sawa, lakini pia Enyimba katika shamba la bibi walishawahi kuchezea kichapo cha goli mbili wao moja, rejea kumbukumbu vizuri wakati huo simba ilikuwa on fire chini ya James Aggrey Siang'a.

Hata hivyo sie afadhari kidogo ukitoka nje ya mipaka ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom