daniel don
Member
- Jun 28, 2012
- 43
- 3
Yanga imeonyesha kile kilichotarajiwa:israel: na wengi baada ya kuichapa JKT Ruvu mabao 2-0, magoli yaliyofungwa na Cannavaro na Khamis Kiiza.
Duuuu beki kuja kusaidia mashambulizi na kufunga maana yake nini??safu ushambuliaji haielewewani au bahati tu ya piga nikupige??bongo footbal safi sana!mngeomba na azam pia inakuza kiwango na kujua kweli mmesajili vizuri?
Duuuu beki kuja kusaidia mashambulizi na kufunga maana yake nini??safu ushambuliaji haielewewani au bahati tu ya piga nikupige??bongo footbal safi sana!mngeomba na azam pia inakuza kiwango na kujua kweli mmesajili vizuri?
Mmewanyang'anya Frank Domayo na Said Bahunuzi halafu unategemea washinde? Hio ilikuwa inajulikana mngeshinda tu kwa hiyo sio habari.