Yanga yaichabanga jkt ruvu 2-0 taifa leo!!!!

daniel don

Member
Jun 28, 2012
43
3
Yanga imeonyesha kile kilichotarajiwa:israel: na wengi baada ya kuichapa JKT Ruvu mabao 2-0, magoli yaliyofungwa na Cannavaro na Khamis Kiiza.
 
Duuuu beki kuja kusaidia mashambulizi na kufunga maana yake nini??safu ushambuliaji haielewewani au bahati tu ya piga nikupige??bongo footbal safi sana!mngeomba na azam pia inakuza kiwango na kujua kweli mmesajili vizuri?
 
Duuuu beki kuja kusaidia mashambulizi na kufunga maana yake nini??safu ushambuliaji haielewewani au bahati tu ya piga nikupige??bongo footbal safi sana!mngeomba na azam pia inakuza kiwango na kujua kweli mmesajili vizuri?

Kwel mkubwa?
 
Duuuu beki kuja kusaidia mashambulizi na kufunga maana yake nini??safu ushambuliaji haielewewani au bahati tu ya piga nikupige??bongo footbal safi sana!mngeomba na azam pia inakuza kiwango na kujua kweli mmesajili vizuri?

manake ni kwamba upande wa maadui katika ushambuliaji ni dhaifu ndo mana beki anapata nafasi ya kupanda na kushambuli
 
Mmewanyang'anya Frank Domayo na Said Bahunuzi halafu unategemea washinde? Hio ilikuwa inajulikana mngeshinda tu kwa hiyo sio habari.
 
Mmewanyang'anya Frank Domayo na Said Bahunuzi halafu unategemea washinde? Hio ilikuwa inajulikana mngeshinda tu kwa hiyo sio habari.

Point of correction, Said Bahanuzi hajatokea JKT Ruvu,ametokea Mtibwa Sugar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom