Yanga wachezaji watano wa kigeni lakini wapi!!!

pilau

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
1,593
443
....... Kweli kelele za chura hazimzuii mwenye kisima kuchota maji, na usiogope maneno kwani hata kwenye kanga yapo..... zile kelele za usajili wa kupindukia wa gharama kubwa lakini wameishia kunawa! duuuu! wachezaji watano kutoka mataifa matano ya Uganda, Rwanda, Congo, Ghana na Burundi, bado mambo hayakuwanyookea... ninahesabu sare ya jana sawa na demu kunywa na kunywa vya watu kisha akakataa kuondoka na jamaa...
 
....... kweli kelele za chura hazimzuii mwenye kisima kuchota maji, na usiogope maneno kwani hata kwenye kanga yapo..... zile kelele za usajili wa kupindukia wa gharama kubwa lakini wameishia kunawa! Duuuu! Wachezaji watano kutoka mataifa matano ya uganda, rwanda, congo, ghana na burundi, bado mambo hayakuwanyookea... Ninahesabu sare ya jana sawa na demu kunywa na kunywa vya watu kisha akakataa kuondoka na jamaa...
chezea ww...wale madogo tu mkude na edo acha
 
....kweli bwana Maprooo watano ndani ya dimba wanaibuka na droo alafu wanashangilia duh!!!.
 
Simba ina mapro watano lakini ni wangapi walicheza? Yaani hao wa imba ndio hovyo kabisa maana hata mechi na Lyon hawapati namba.
 
....... Kweli kelele za chura hazimzuii mwenye kisima kuchota maji, na usiogope maneno kwani hata kwenye kanga yapo..... zile kelele za usajili wa kupindukia wa gharama kubwa lakini wameishia kunawa! duuuu! wachezaji watano kutoka mataifa matano ya Uganda, Rwanda, Congo, Ghana na Burundi, bado mambo hayakuwanyookea... ninahesabu sare ya jana sawa na demu kunywa na kunywa vya watu kisha akakataa kuondoka na jamaa...

Kwa kiasi kikubwa Yanga walisaidiwa sana na ubunifu wao wa kuvuruga mchezo kwa kuanza kucheza rafu ovyo ovyo, tatizo na hawa marefa wanaochezesha mechi kwa kuogopa wingi wa mashabiki ndio likazidi kuharibu mechi.
Iko wazi kwamba Yanga mnatakiwa muanze sana kusuka timu yenu ili ikaribie kiwango cha Simba baada ya miaka miwili, kwani Simba ni timu iliyotimia kila idara.
 
Watu wengine bwana,kwani Simba ina Ma'proo wangapi au wao walisajiliwaje? hatukuambiwa kuwa Komabil Keita na Paschal Ochieng kuwa ni mabeki wa kati ambao hawajawahi kutokea hapa Tanzania,na Akuffor je? si wengine bado tunasubiri siku atakayoondoka kwenda kucheza soka la kulipwa kule Spain sijui Sevilla sijui team gani kwani bado tunakumbuka tuliambiwa hapo Simba yuko on transit tu,Sunzu na yeye? embu fanya analysis ya Maproo waliocheza jana wa Yanga na wa Simba wapi ambao angalau walionyesha uhai kidogo,angalia shughuli za kina Kavumbagu,Twite,Kiiza,Berko na Niyonzima (ambaye mimi siku zote nasema ni wa Ulaya) halafu linganisha na shughuli za magarasa yenu Sunzu na Akuffor aliye njiani kwenda kukipiga Spain halafu ndo utoe tathmini kina nani wametupa hela mazima.
 
Mbuyu alikuwa anageuzwa naEdo kama samaki....Chezea Simba wewe naomba mechi nyingine Okwi awepo ndani halafu upande mwingine Ngasa...

ngasa aliboa alikuwa anadive sana ila na shukuru nilibet droo ya mojamoja nikachukua laki kwa 10K sio mbaya..
baamedi kanisababishia miela na poor strikers wa simba pia walinisaidia..

nahisi hii ligi azam tunachukua unabisha sikushikii fimbo..

Alamski!
 
ngasa aliboa alikuwa anadive sana ila na shukuru nilibet droo ya mojamoja nikachukua laki kwa 10K sio mbaya..
baamedi kanisababishia miela na poor strikers wa simba pia walinisaidia..

nahisi hii ligi azam tunachukua unabisha sikushikii fimbo..

Alamski!
Kwa vita iliyoko Simba na Yanga mnaweza kuchukua ila kuna kipindi kitafika mtapigwa vita zile pesa za EPA sijui kama mtafurukuta...
 
Watu wengine bwana,kwani Simba ina Ma'proo wangapi au wao walisajiliwaje? hatukuambiwa kuwa Komabil Keita na Paschal Ochieng kuwa ni mabeki wa kati ambao hawajawahi kutokea hapa Tanzania,na Akuffor je? si wengine bado tunasubiri siku atakayoondoka kwenda kucheza soka la kulipwa kule Spain sijui Sevilla sijui team gani kwani bado tunakumbuka tuliambiwa hapo Simba yuko on transit tu,Sunzu na yeye? embu fanya analysis ya Maproo waliocheza jana wa Yanga na wa Simba wapi ambao angalau walionyesha uhai kidogo,angalia shughuli za kina Kavumbagu,Twite,Kiiza,Berko na Niyonzima (ambaye mimi siku zote nasema ni wa Ulaya) halafu linganisha na shughuli za magarasa yenu Sunzu na Akuffor aliye njiani kwenda kukipiga Spain halafu ndo utoe tathmini kina nani wametupa hela mazima.
unakumbuka alipo kuja Ochan na Okwi? hawakuwa chochote lakini baada ya muda utaona shughuli yake tunawapa muda..
 
....... Kweli kelele za chura hazimzuii mwenye kisima kuchota maji, na usiogope maneno kwani hata kwenye kanga yapo..... zile kelele za usajili wa kupindukia wa gharama kubwa lakini wameishia kunawa! duuuu! wachezaji watano kutoka mataifa matano ya Uganda, Rwanda, Congo, Ghana na Burundi, bado mambo hayakuwanyookea... ninahesabu sare ya jana sawa na demu kunywa na kunywa vya watu kisha akakataa kuondoka na jamaa...
Mlikariri 5 bila??


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Watu wengine bwana,kwani Simba ina Ma'proo wangapi au wao walisajiliwaje? hatukuambiwa kuwa Komabil Keita na Paschal Ochieng kuwa ni mabeki wa kati ambao hawajawahi kutokea hapa Tanzania,na Akuffor je? si wengine bado tunasubiri siku atakayoondoka kwenda kucheza soka la kulipwa kule Spain sijui Sevilla sijui team gani kwani bado tunakumbuka tuliambiwa hapo Simba yuko on transit tu,Sunzu na yeye? embu fanya analysis ya Maproo waliocheza jana wa Yanga na wa Simba wapi ambao angalau walionyesha uhai kidogo,angalia shughuli za kina Kavumbagu,Twite,Kiiza,Berko na Niyonzima (ambaye mimi siku zote nasema ni wa Ulaya) halafu linganisha na shughuli za magarasa yenu Sunzu na Akuffor aliye njiani kwenda kukipiga Spain halafu ndo utoe tathmini kina nani wametupa hela mazima.
Simba ni wajanja; baada ya kugundua Maproo si wakali kihivyo kocha aliamua wakae pembeni kwanza huku wakitafakali na wakati huohuo wazawa wakachua majukumu lakini kwa Yanga wao Maproo ndo kila kitu; ingekua vyema kama wangekua wanailetea Club mafanikio kinyume chake ndicho tunachokiona sasa, timu inacheza inaambulia droo wapenzi wanashangilia tu. haya bwana hayo ndo matunda ya Usajiri wenye thamani ya Sh. milioni 300.,
 
unakumbuka alipo kuja Ochan na Okwi? hawakuwa chochote lakini baada ya muda utaona shughuli yake tunawapa muda..

Okwi ilimchukua misimu mi'3 msimu wa 4 (mwaka jana) ndo aka'shine,kumbuka alivyokuja alikuwa na miaka 17 tofauti na Akuffor ambaye tayari amezeeka unafikiri mnaweza kumvumilia misimu mi'4 aje a'shine kama Okwi,na hata mkimvumilia pengine atakuwa na miaka 34 sasa uliona wapi mchezaji wa miaka 34 akawa moto?
 
....kweli bwana Maprooo watano ndani ya dimba wanaibuka na droo alafu wanashangilia duh!!!.
Droo yenyewe ya kuchomoa kwa penalt. Sio siri wale watoto wamewapigia mpira mapro wa Yanga mpaka basi. Wazee walikuwa wanapigwa kanzu mpaka wanacheza rafu za waziwazi.

Mpira Yanga bado sana kiukweli.
 
Mbuyu alikuwa anageuzwa naEdo kama samaki....Chezea Simba wewe naomba mechi nyingine Okwi awepo ndani halafu upande mwingine Ngasa...

Wanapewa mbinu na CCM za kuwalima kadi nyekundu wachezaji tishio. Next time Okwi tutaacha kumpanga mechi tatu kabla ya mechi ya Yanga tuone watakimbilia wapi. Yanga wanamuogopa Okwi kama ukoma!!
 
Mbuyu alikuwa anageuzwa naEdo kama samaki....Chezea Simba wewe naomba mechi nyingine Okwi awepo ndani halafu upande mwingine Ngasa...
Mkuu usifanye hivyo unataka mechi ya pili Okwi acheze unataka atuulie watu tena kama ilivyotokea huko Morogoro, kizee cha watu lilikuwa kinakula pensheni ya ke kwa amani lakini kwa matokeo mabovu ya yanga kimeaga dunia kikiwa njiani kupelekwa Morogoro Hospital kutokana na goli la kushtukiza la Amri Kiemba (The International Killer).

Hapa Yanga mnastahili kufunguliwa mashtaka ya mauaji!
 
Wanapewa mbinu na CCM za kuwalima kadi nyekundu wachezaji tishio. Next time Okwi tutaacha kumpanga mechi tatu kabla ya mechi ya Yanga tuone watakimbilia wapi. Yanga wanamuogopa Okwi kama ukoma!!
Mkuu angalia wasije wakakupa kadi nyekundu na wewe! Yanga bila kubebwa haiwezekani, ndiyo maana kule Morogoro waliidharau mechi hawakuhonga marefa wakijua Mtibwa (The King of Sugar) ni timu mbovu, yaliyowakuta na mapro wao wote ndani ni aibu kuyarudia mpaka wakatimuana kama wendawazimu.
 
Okwi ilimchukua misimu mi'3 msimu wa 4 (mwaka jana) ndo aka'shine,kumbuka alivyokuja alikuwa na miaka 17 tofauti na Akuffor ambaye tayari amezeeka unafikiri mnaweza kumvumilia misimu mi'4 aje a'shine kama Okwi,na hata mkimvumilia pengine atakuwa na miaka 34 sasa uliona wapi mchezaji wa miaka 34 akawa moto?
Kwani twite na kavumbangu wana miaka mingapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom