Yanga vs Mgambo JKT, kutoka Uwanja wa Taifa

mchezaji wa mgambo jkt salum mlima kamchezea madhambi mbui twite na kupewa kadi nyekundu hapo hapo. mia
 
yanga inaongoza usukani wa ligi kuu tanzania kwa uwiano wa magoli. yanga amefunga magoli 21 na simba amefunga magoli 20. yanga amebakiza mechi za coastal union na azam wakati simba imebakiza michezo ya mtibwa na toto africa. kocha wa zamani wa azam kashaanza kazi. mia
 
Back
Top Bottom