saitama_kein
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 981
- 99
Wadau tunaomba updates za mpambano huu...nawakilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasi waliyonayo Yanga a.k.a Yebo Yebo wanaweza kupata hata zaidi ya goli 5 labda hawa Africa Lyon wabadilike...
Kama matokeo yatabakia hivyo hivyo 3-1...yanga ataongoza kwa kigezo cha goal difference eeh?? Masikini mnyama...mwaka wa hasara!!
Game za mwisho simba na yanga wanacheza na timu zipi?
Game za mwisho simba na yanga wanacheza na timu zipi?
Yanga 3 African Lyon 0(Iddi Mbaga kapiga 2 na Davies Mwape kapiga 1).....Game yaendelea
Mpira umeisha Yanga 3 African Lyon 1
Kwa matokeo haya ni kwamba Simba wana ponti sawa na Yanga ila yanga anaongoza kwa goal difference ya 1(Simba kafunga magoli 36 na kafungwa magoli 15,goal difference ni 36-15=21,Yanga wamefunga magoli 29 na wamefungwa magoli 07,goal difference ni 29-07=22).Hivyo tofauti ya magoli ni 22-21=01
Bingwa ataamuliwa katika mechi za mwisho mbapo Simba itacheza na Majimaji na Yanga itacheza na Toto Africans
Hongereni yebo yebo......Duh. hapo Yanga ubingwa wenu. Hiyo mechi ya mwisho ni kama Yanga vs. Yanga B.. halafu changanya na mkono wa Manji.. Hongereni