Kama kichwa kinavyoeleza hapo,timu hizi leo zimeingia uwanjan pasipo kuvaa jezi zenye nembo ya mdhamin wa Ligi kuu TANGANYIKA,,,,,
Ikumbukwe kuwa afrikan Lyon walikatazwa kuvaa jez za mdhamin wao(zantel).
Hizi ni dalili mbaya kuwa ligi hii huenda ikawa na mgogoro sana kwenye kipengele cha exclussive ya mdhamin
Ikumbukwe kuwa afrikan Lyon walikatazwa kuvaa jez za mdhamin wao(zantel).
Hizi ni dalili mbaya kuwa ligi hii huenda ikawa na mgogoro sana kwenye kipengele cha exclussive ya mdhamin