Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Nina uhakika safari yenu wanayanga inaishia hapo kama leo mmewaokota hao wa-comoro 8-1, nadhani nanyi pia lazima mchapwe idadi hiyo hiyo na Al-Ahly ya Misri kwani ndio mtakayokutana nayo next!!! habari ndio hiyo!Hii timu ya Comoro ngumu sana kufungika na hii inaamisha kuwa Yanga ni timu kubwa na imejiimarisha na kusema kweli inatisha!Tuegemee matokeo mazuri kwenye mechi zinazofuatia.
Hogereni Yanga kwa kutuwakilisha vema. Ni kawaida yenu kuziadabisha hizi timu ndogondogo.... na kujisifu saaaana. Jiandaeni vizuri msituaiibishe kwa Waarabu next round
Hogereni Yanga kwa kutuwakilisha vema. Ni kawaida yenu kuziadabisha hizi timu ndogondogo.... na kujisifu saaaana. Jiandaeni vizuri msituaiibishe kwa Waarabu next round
Nadhani hawa ni vibonde!
Sasa bao 8 je kuna haja ya mechi ya marudio kule Moroni? Naona ni kupoteza mda!
...Mkuu hapa hakuna mambo ya wanasimba kuacha maneno issue ni kuwa safari yenu inaishia kwa waarabu nina ukakika na nyie mtapata kichapo cha aibu na mtaona hata shid kwenda kwenye mechi ya marudiano.....Kaeni mkao wa kupigwa.Kweli bwana, kufungwa goli 8 ni sawa na net ball , nafikiri kwa matumizi mazuri ya resources hamna haja ya marudiano, kwani hata wakicheza na yanga B hawana ubavu wa kurudisha goli 6.
Wanasimba acheni maneno ya mkosaji, yani nyie yeboyebo hata tukifanya vizuri inawauma! Hamjawahi pata ushindi mnono kama huo, kwa hiyo subirini, acheni husda.
Jee kesho Yanga watatupa raha dhidi ya Etoile d'Or Mirontsy ya Comoro?.
Kila la heri Yanga.
...Huo ndio ukweli wenyewe nadhani mjiandae kurudi na stori za ku-justify migoli mtakayopigwa!!Hongera KAGODA FC ila nasikitika raundi ijayo tunatolewa