Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Kwa hali inavyokwenda sasa katika ligi kuu ya Vodacom.
Kuna uwezekano mkubwa kwa mabingwa watetezi Yanga kushuka daraja.
Ingawa ligi ndo kwanza ipo mwanzoni mwanzoni lakini nyota njema huonekana tangu asubuhi.
Inasemekana tayari kuna mgogoro umeanza kufurukuta ndani ya timu hiyo kufuatia matokeo mabaya huku beki tegemezi Nadir Canavaro akiwa majeruhi bila daktari wa timu kuwa na taarifa.
Kuna uwezekano mkubwa kwa mabingwa watetezi Yanga kushuka daraja.
Ingawa ligi ndo kwanza ipo mwanzoni mwanzoni lakini nyota njema huonekana tangu asubuhi.
Inasemekana tayari kuna mgogoro umeanza kufurukuta ndani ya timu hiyo kufuatia matokeo mabaya huku beki tegemezi Nadir Canavaro akiwa majeruhi bila daktari wa timu kuwa na taarifa.