Yanga kushney, kwaheri Tom!

Sijui kwanini soka la bongo halieleweki kiivyo. yaani timu inapofanya vibaya kidogo tu jambo lakwanza ni timua timua. Jamani hata mpira unahitaji uvumilivu wa kutosha ndio tutapata hayo mafanikio vinginevyo tutaishia kuamini kamati za ufundi badala ya kuamini katika Technical bench. Walau Simba kutoka misuko suko ya kagame wameonyesha ukomavu kiasi fulani kuliko hawa wa Jangwani. Juzi pale jamuhuri wamempiga kwa mawe na chupa za maji mzee wa watu eti ameiroga timu ila hilo la kumfanya mbuyu kuwa mchezaji bora kuliko wenzake hawalioni kuwa ni tatizo. Poa wao kwao kivyao na sisi kwetu kwivyetu
 
Ile sheria mpya ya tff inasemaje kuhusu timu inayomtimua refa?

haina nguvu kwani tff ni yanga so hiyo sheria bado haijapitishwa..
Sijui kwanini soka la bongo halieleweki kiivyo. yaani timu inapofanya vibaya kidogo tu jambo lakwanza ni timua timua. Jamani hata mpira unahitaji uvumilivu wa kutosha ndio tutapata hayo mafanikio vinginevyo tutaishia kuamini kamati za ufundi badala ya kuamini katika Technical bench. Walau Simba kutoka misuko suko ya kagame wameonyesha ukomavu kiasi fulani kuliko hawa wa Jangwani. Juzi pale jamuhuri wamempiga kwa mawe na chupa za maji mzee wa watu eti ameiroga timu ila hilo la kumfanya mbuyu kuwa mchezaji bora kuliko wenzake hawalioni kuwa ni tatizo. Poa wao kwao kivyao na sisi kwetu kwivyetu

Mbona Twite hajafukuzwa?

jibu lako hilo hapo juu mkuu Somoche
 
Last edited by a moderator:
tatizo la yanga ni kuwa wachezaji wanatumia muda mwingi kujipodoa. Kocha kaliona hilo kaliweka wazi mmemtimua. Kazi mnayo mwaka huu. Mbuyu twite beki wa kutumainiwa
kageuka kuwa uchochoro. 3 za mtibwa mkikutana na mnyama manji lazima aondoke. Poleni watani that is bongo football.
 
Hahahahahaha watani nao wana tambo sana,kuondoka Tom sio kufa kwa Yanga wakuu,Yanga ntakupenda Daima Milele
 
Mi nimesikia wachzeaji muda mwingi wanatafuta namna ya kutokelezea kwen media hasa magazeti, kutafuta misuko mipya ya nywele na kujipodoa,....
 
Naona mzee Akilimali sasa anakaa mkao wa kuchukua timu. Alisema wazee wana sh. million 750
 
Aaaah kocha naye kazidi kuropoka kwenye vyombo vya habari,mtu gani kila meche anaita vyombo vya habari kutaja crew yayake kama vile kocha wa timu za taifa.Alafu kwanini aizungumziie management,hana displine na kazi yake
 
yanga wamemfukuza kocha Tom, hivi kitendo cha yanga kufungwa 3 na mtibwa ndo mumfukuze kocha?.mbona alivyowapa kagame mlimfurahia sana.haya sasa Manji kaanza na Tom,atafuata twite na yondani ajiandae.

You should know one thing about Yanga my friend. No-one (I mean NO-ONE) is above this great club.
People go and come but the club DNA remains - winning many and big trophies!

Manji, Tom, Mwesigwa, Twite, Yondani, Tisha-TOTO were not there when Yanga has been unprecedentedly collecting trophies all these years. Yanga's success is purely down to its DNA and tradition.

Waache waondoke wote hao unaoombea kuondoka - tena mkipenda muwachukue. But Yanga will prevail - daima mbele mwisho mwiko!!
 
soko kutoka kwa yanga, timu ya mashoga kocha kasema ukweli mmemtimua..uliona wapi madume 3 yana lala kitanda kimoja
Timu pekee iliyowahi kukumbwa na kashfa ya ushoga Tanzania ni Simba dogo.....

Unamfahamu mtu anaitwa Thomas Karume?.........

Kwa habari zaidi muulize Julio.........Angekuwepo marehemu Mansour Magram angekupa mkanda mzima.......

Yanga 4-1 JKT Ruvu
 
tatizo la yanga ni kuwa wachezaji wanatumia muda mwingi kujipodoa. Kocha kaliona hilo kaliweka wazi mmemtimua. Kazi mnayo mwaka huu. Mbuyu twite beki wa kutumainiwa
kageuka kuwa uchochoro. 3 za mtibwa mkikutana na mnyama manji lazima aondoke. Poleni watani that is bongo football.

Naisubiri sana 3 October.

Warning signs kwa Simba.....hadi sasa Simba mmecheza na vibonde watupu ambao walichabangwa na Yanga kwa a much bigger margin (African Lyon 4-0 kwenye pre-season, vibonde wengine Ruvu wamepigwa leo 4-1). Scorelines za Simba dhidi ya hizi timu 2 ni inferior kuliko ile ya Yanga.

Kwa hiyo mathematically Yanga are stronger than Simba by at least a 1 goal margin (i.e come October 3 it will be at least like this .... Yanga 1 Simba 0 or Yanga 2 Simba, etc, etc).
 
Back
Top Bottom