Yanga badilisheni rangi za jezi plz!

Umefika wakat yanga tubadili rangi ya jezi zetu kutokana na mwingiliano na rangi na (siasa) ccm,na pia rangi kupoteza mvuto.Wapo watu waliochagua simba kwa sbb ya rang ,na hawakuipenda yanga kwa sbb ya rangi pia.Ikiwa simba walibadili jina sioni ajabu tukibadili rangi ya jezi zetu.Esperance walibadili rangi kuwa njano na nyekundu kutoka blue na nyeusi.nashauri cc tubadili tuwe njano na blue. Mashabiki ni sawa na wateja wa timu,timu inapokuwa na fan wengi na mapato yanaongezeka.YANGA ilikuwa timu yenye washabk wengi tz,lakini nahc sasakuna mabadiliko.
Ukizingtia rangi inahusika katika psycology ya masoko...

NAKUBALIANA NA WATU KWAMBA YANGA IBADILI JEZI YAKE YAANI IBORESHE ! SI VIZURI KUPOTEZA KABISA HISTORIA BUT AT LEAST ICHANGANYE JEZI MFANO
>> WAWE NA JEZI AMBAYO NI MCHANYIKO WA NJANO,BLUE NA NYEUZI
NAKATAA KUUNGA MKONO MKONO WANAODAI JEZI NYEKUNDU NI YA USHINDI HIZO NI IMANI TU UKWELI NI MDOGO SANA!!! KAMA UNAAMINI MIZIMU NA USHIRIKINA NDO INAWEZA KUWA HIVYO ILA KI UKWELI HAKUNA CHOCHOTE!!! INATEGEMEA DETERMINATION YA TIMU NA WACHEZAJI.
MFANO WAAFRIKA ESPECIALLY TANZANIANS WANAAMINI UCHAWI UNASAIDIA KATIKA SOKA. LAKINI HAKUNA TIMU YA AFRIKA IMEWAHI KUCHUKUA KOMBE LA DUNIA PAMOJA NA UCHAWI WAO!
AU MBONA TIMU NYINGI ZENYE UBORA WA SOKA DUNIANI HAZIVAI NYEKUNDU LAKINI NDIZO BORAAA?
MFANO;
BRAZIL (blue vs Njano), Ujerumani (Nyeusi,nyeupe,njano),Uruguay(Black,Blue),Argentina(Black blue,nyeupe),France(White,blue),Italy(white,Blue),Holand(Orange),Ivory coast(Green)!!!
 
Umefika wakat yanga tubadili rangi ya jezi zetu kutokana na mwingiliano na rangi na (siasa) ccm,na pia rangi kupoteza mvuto.Wapo watu waliochagua simba kwa sbb ya rang ,na hawakuipenda yanga kwa sbb ya rangi pia.Ikiwa simba walibadili jina sioni ajabu tukibadili rangi ya jezi zetu.Esperance walibadili rangi kuwa njano na nyekundu kutoka blue na nyeusi.nashauri cc tubadili tuwe njano na blue. Mashabiki ni sawa na wateja wa timu,timu inapokuwa na fan wengi na mapato yanaongezeka.YANGA ilikuwa timu yenye washabk wengi tz,lakini nahc sasakuna mabadiliko.
Ukizingtia rangi inahusika katika psycology ya masoko...

Siyo kwamba rangi inausishwa na siasa bali yanga ni ccm hata ktk kuendesha mambo yake pia na serikali ya magamba inawafinance!
 
Siyo kwamba rangi inausishwa na siasa bali yanga ni ccm hata ktk kuendesha mambo yake pia na serikali ya magamba inawafinance!

sasa hizo bangi,yanga haina uhusiano na ccm.Rage ni mbunge wa ccm ingawa ni MWENYEKITI WA SIMBA.Fisadi mkuu wa ccm,Lowasa,ni mdau wa simba na wengine wengi.Hapa tunazungumzia rangi,
 
Nitaku shabiki wa uongo endapo nitahama yanga, sababu rangi ya jezi inafanana na bendera ya ccm eti kisa mimi shabiki wa chadema.. Huu ni upuuzi kuchanganya siasa na michezo.!!!
 
Nitaku shabiki wa uongo endapo nitahama yanga, sababu rangi ya jezi inafanana na bendera ya ccm eti kisa mimi shabiki wa chadema.. Huu ni upuuzi kuchanganya siasa na michezo.!!!

ni kweli, ni vigumu na hakuna anaeweza kuhama,but kwa sasa simba wanapokea mashabk wengi wapya kuliko yanga,ukubali au uckubali
 
ni kweli, ni vigumu na hakuna anaeweza kuhama,but kwa sasa simba wanapokea mashabk wengi wapya kuliko yanga,ukubali au uckubali

Hao washabiki wapya wanatokea wapi?
yanga ina washabiki nchi nzima, na ndio maana inaitwa Yanga ya Tanzania na ile nyingine inaitwa Simba ya Dar es Salaam...
Kuna mdau ameeleza vizuri kuwa kati ya Yanga na CCM ni ipi ilianza?
Jibu likaja kuwa ni Yanga.

Then mi nikaongeza na kuhoji je leo hii tukibadili jezi then ktk siku za usoni kikatokea chama cha siasa kitakachokuwa na Bendera zenye rangi kama hizo tutakazohamia je tutakurupuka tena kubadili rangi?

Kuhusu kubadili Logo pia siungi mkono.
Logo yetu lazima ienziwe.

YANGA ilikuwepo, ipo na itakuwepo.
YANGA Imara, daima mbele...nyuma mwiko.
 
Siyo kwamba rangi inausishwa na siasa bali yanga ni ccm hata ktk kuendesha mambo yake pia na serikali ya magamba inawafinance!

Shine,
Hapo kwenye red Serikali inawa'finance mpaka wakamuweka bond Mtumishi wao mmoja kwa kushindwa kulipia 4M sijui kule Arusha!!!
 
Dah inavyoonekana hapa tukipiga kura Yanga ibadili jezi au isibadili wanaosema ibadili wanaweza kushinda,lkn sitaki kuamini kuwa hawa wanao'support utumbo huu wa Yanga kubadili jezi just ksbb rangi zake zimefanana na Chama cha siasa ni mashabiki wa Yanga kweli,dalili zote (hususani kiwango cha uelewa wanachokionyesha) zinaonyesha ni mashabiki wa Simba wanaojifanya kuchangia kwa vilemba vya ushabiki wa Yanga,nakataa Yanga haiwezi kuwa na shabiki wa aina hii:-
1.Kushindwa kuelewa kuwa rangi ya jezi haina uhusiano wowote na matokeo ya uwanjani.
2.Kushindwa kuelewa kuwa Club ya michezo hususani team ya mpira ni tofauti kabisa na Chama cha siasa.
3.Kushindwa kuelewa kuwa ushabiki wa team(unless uwe Poyoyo/usiyejua chochote katika michezo) hausababishwi na rangi...yaani mtu na akili zake kabisa anaongea hapa kuwa wako watu walichagua Simba ksbb ya rangi na wengine wamehama Yanga ksbb ya kijani na njano.
4.Shabiki wa Yanga hajui hata logo ya team yake ikoje.
5.Mtu na utu'uzima wake kabisa anakuja na suggestion kuwa Yanga ivae nyekundu kama Simba,ksbb nyekundu inashinda
6......
7......
Nimekataa jamani!!!
 
unaonekana unafikra mgando na una maisha ya kukarr kila kitu.Nyie ndo mnaong'ang'ania kutahiri watoto wenu wa kike just bcoz bibi zenu walifanyiwa hivyo.Yaani hamfungui akili for mawazo mapya

Yahoo, unaonekana neno mgando, utoto ni maneno muhimu kwenye msamiati wako. Tukirudi kwenye mada, kama Yanga watabadilisha rangi zao na sababu ni rangi zinazotumiwa na CCM ambayo ni chama tawala na sasa hivi kuna mtazamo hasi na chama hiki, basi mwaka 2015 - 2020 wakati wa CHADEMA jiandae kusikia hoja ya Simba wabadilishe rangi yao nyekundu kwa sababu inatumiwa na CHADEMA! Yanga wakitka kubadilika wako huru lakini kwa precedence hii, siungi mkono. Naomba kuwasilisha hoja mgandoooo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom