mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Kama umetumwa na rage huko huko usituletee matapishi yako hapa.Zungumzia mabadiliko ya uongezi au wachezaji we unazungumzia rangi.Nenda kafuate rangi azam tuachie yanga yetu ebo
Una maanisha Yanga hii Kandambili au? Mabadiliko yapi ya uongozi unayoyataka sasa? msisitizo kwenye RED mabadiliko yasaidie nini? Yanga kwani yako au?