Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Swadakta weye muelewa sana.Una maanisha Jamaa ana KIPARA au vipi....?
Swadakta weye muelewa sana.Una maanisha Jamaa ana KIPARA au vipi....?
Hans yuko vizuri, tumng'ang'anie babu wetu.Pongezi sana kwa kocha Hans Plujin kwa kutengeneza kikosi cha kutisha na kuwapa nafasi wachezaji wote
Nani anaichukua Yanga? Toa ushahidi, acha kupepesa macho .......Ukweli ni kuwa kwa sasa timu hii ni bora sana si tu hapa nchini bali katika ukanda wetu wa Afrika mashariki,ina wachezaji mahiri karibu wawili kwa kila idara,inacheza mpira mzuri na benchi la ufundi bora.
Kasoro nyingi zinazotolewa na watu kuhusu Yanga ni jambo la asili tu; mtu,kampuni au kikundi chochote kinapofanikiwa haters huwa wanaongeza kiwango na vigezo vya mafanikio sasa wataanza kusema ili ithibitishe ubora eti ichukue ubingwa wa shirikisho,haters hawataki kukiri ubora wa Yanga..chuki chuki chuki,
Ukweli ni kuwa kadiri unavyoongeza viwango kwa mtu au kikundi unachokichukia ni sawa tu na kumpiga chura teke,Yanga wanaichukia bure tu, huu ndo muda wake,ooops nilitaka kusahau Yanga pia ina msemaji bora sana kwa sasa Afrika mashariki.
Me jana hata sikuhangaika kumsikia, sijui kasemaje...!!
Me jana hata sikuhangaika kumsikia, sijui kasemaje...!!
Ni kweli.!he he hee...Katavi mwaka huu majanga...........
Watu kibao wanolialia oh wanabebwa,oooh wananunua mechi,wachambuzi fake wa mpira na washkaji fulani nimehifadhi majina yao.Nani anaichukua Yanga? Toa ushahidi, acha kupepesa macho .......
Dahh! wivu kitu kibaya sana.k
khaaaa mie ndio kabisa sikupoteza unit zangu
Wakati Sendeu akiwa anaongea hata kama timu yako imeshinda 10 bila wala husisimki...Muro ana ladha nyingine kabisa.walikuwepo akina Sendeu wakapita after all Muro ni misifa zaidi bila kuweka taaluma mbele na ndio maana twamwita wa mipasho tu
Basi tufanye Manara kashika nafasi ya pili lol!Hata wa Manara nao unaonekana pia.
Ukiona hivyo ujue Yanga inafanya vizuri ...........Watu kibao wanolialia oh wanabebwa,oooh wananunua mechi,wachambuzi fake wa mpira na washkaji fulani nimehifadhi majina yao.