Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

Ukweli ni kuwa kwa sasa timu hii ni bora sana si tu hapa nchini bali katika ukanda wetu wa Afrika mashariki,ina wachezaji mahiri karibu wawili kwa kila idara,inacheza mpira mzuri na benchi la ufundi bora.

Kasoro nyingi zinazotolewa na watu kuhusu Yanga ni jambo la asili tu; mtu,kampuni au kikundi chochote kinapofanikiwa haters huwa wanaongeza kiwango na vigezo vya mafanikio sasa wataanza kusema ili ithibitishe ubora eti ichukue ubingwa wa shirikisho,haters hawataki kukiri ubora wa Yanga..chuki chuki chuki,

Ukweli ni kuwa kadiri unavyoongeza viwango kwa mtu au kikundi unachokichukia ni sawa tu na kumpiga chura teke,Yanga wanaichukia bure tu, huu ndo muda wake,ooops nilitaka kusahau Yanga pia ina msemaji bora sana kwa sasa Afrika mashariki.
Nani anaichukua Yanga? Toa ushahidi, acha kupepesa macho .......
 
Hii tabia ya Tanzania sijaona mahali kungine duniani. Unakuta washabiki WA simba baada ya timu Yao kushindwa mashindano wanavaa jezi za timu pinzani na kuishangilia dhidi ya Yanga, wanakuwa sawa sawa na mwanamke anaetamani kuolewa na kila mwanaume.
hivi mitaani nimeanza kuona watu wanavaa jezi za tp mazembe.
kwanini usibaki na timu yako kama haipo mashindanoni baki nyumbani kwenu au kwenye viwanja vya matopeni hujalazimishwa kuja uwanja WA kimataifa kuja kupiga vikelele visivyo na faida
 
Kwahiyo mafanikio ya Yanga utayapima kwa kumfunga simba 5 Basi? Mengine yote unahesabu kama sio mafanikio, haya blaza Hongera kuipenda simba hadi akili zinahama
 
walikuwepo akina Sendeu wakapita after all Muro ni misifa zaidi bila kuweka taaluma mbele na ndio maana twamwita wa mipasho tu
Wakati Sendeu akiwa anaongea hata kama timu yako imeshinda 10 bila wala husisimki...Muro ana ladha nyingine kabisa.
 
1464358744902.jpg

Nani kanuna??
 
Back
Top Bottom