mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 256
- 88
Inashangaza kuona mashabiki wa Yanga wote ni kama wamezaliwa mwaka 2005, yanga kuchukua ubingwa ni jambo la kawaida wenyeviti wote waliopita walifanya hivyo, labda mmesahau Yanga iliokuwa na mafanikio ni ile iliocheza makundi ligi ya mabingwa ikaazima wachezaji.
Lakini si hii ni aibu kupita na kujinasibu hayo ni mafanikio,sasa hapa toka mwenyekiti alipoingia na mkwara wa kuifunga tano simba bado hajafanikiwa mashabiki kuzimia na kulilia wamesubiri mpaka wamekata tamaa na kwenda kushangilia timu,hebu toeni sababu tatu tu za mafanikio ya mwenyekiti tangu achukue timu?
Kwani VYURA mna mafanikio gani kwa miaka minne sasa?