Ndugu wana jf naomba kwa yeyote aliyeripoti kwenye kata kwa ajili ya usaili wa kazi za ukarani wa sensa mtujuze nini kinaendelea.vigezo gani wanataka na maswali wanayouliza.huku mikoani bado kimya.
Makarani wengi wa kiislam wamesusia usailiNdugu wana jf naomba kwa yeyote aliyeripoti kwenye kata kwa ajili ya usaili wa kazi za ukarani wa sensa mtujuze nini kinaendelea.vigezo gani wanataka na maswali wanayouliza.huku mikoani bado kimya.
Migi kawaida, ila usikamatwe............. So kulikisha mtihani si mbaya. mpeni msaada.
kikubwa,nenda na vyeti original kama ulivyo ambatanisha vivuli vyake,kumbuka majina yako matatu,namba yako ya simu na mtaa/kitongoji unachokaa basi hakuna swali lingine lolote(uzoefu wa kata ya kawe sijui kwingineko)
Makarani wengi wa kiislam wamesusia usaili
Mwenye taarifa kuhusu kata ya mbagala kuu kama washabandika majina a2juze
jamani wana jf naomba mnijuze kitu kimoja eti nimesikia majina yaliyobandikwa leo kwenye kata
kwa ajili ya usaili eti yatachakachuliwa tena nakutolewa mengine baada ya ck tatu wakati kuna watu waliokuja wakakosa majina yao kwanini wafanye kazi mara mbilimbili inamaana mtu kafika kaona jina lake then akafanya usail anarudi tena anakuta jina lake halipo mabo gani haya jamani naomba mnijuze the sectrate behind.
hiyo safiii sana waacheni waamke tuuuuuNaona kazi hapa dar itakuwa simple sana coz uamsho "waislam" wamegoma kuhesabiwa.