mkuu... hivi ukidondoka kwa ugonjwa unatakiwa uombe radhi?Amesema lolote kuhusu utata wa afya yake/kutuomba radhi alivyodondoka jana hadharani?
Asante sana Superman na Eeka Mangi kwa update zenu, Ngoja niwagongee sanks hapo juu. Kesho yuko wapi?
Hatutakubali kuchagua mgonjwa..... tena wa kichwa kinachobeba akili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.
Join date Sunday August 2010.Bring them on!JK Rais kipenzi cha watu, ametenda mambo mengi katika miaka mitano iliyopita, kupambana na rushwa na ufisadi ni mengi kati ya mengi, ujenzi wa shule za sekondari,vyuo vikuu, barabara za lami, changarawe, ameimarisha demokrasia, utawala bora ndo usiseme, uhuru wakuabudu, kuandika na kutoa habari, wasanii na michezo,kaboresha na amejipanga kutoa ajira zaidi ya awali, chagua JK kwa maisha bora na maendeleo ya Taifa. Chagua CCM. Pamoja twasonga mbele.
Tumpe kura za ndiyo,hao chadema wanaanzia kwenye maendeleo ya ccm. Hawana cha kutueleza walichokichangia kwenye kuendeleza jamii zaidi ya kuba documents
Tumpe kura za ndiyo,hao chadema wanaanzia kwenye maendeleo ya ccm. Hawana cha kutueleza walichokichangia kwenye kuendeleza jamii zaidi ya kuba documents
Anasema kwa upande wa barabara ukitoka saa 12 asubuhi, DSM unafika saa 12 jioni.
Pia anasema ajira zimepatikana 1.3 M
Deni la Ushirika la Billioni 5 atawasaidia (??? PCCB please . . . . haaa haaa joke)
Hatutakubali kuchagua mgonjwa..... tena wa kichwa kinachobeba akili!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kweli Rais tunaye..hkhaaaaa mi sijaelewa anaposema atalipa 5bilioni!!!! nimecheka aliposema kaanzisha master studio ya wasanii wa bongo fleva na kwake hayao ni mafanikio.....pole tanzania pole watanzania.This is ridiculous
naona mkuu sasa hivi akisimaa kunakuwa na mtu wa ziada nyuma zaidi ya bodyguard. kweli jangwani imeleta mambo