Anadai TUCTA wamepindua maneno kuwa yeye hataki kura za wafanyakazi
Anajivunia kununua mastering machine aliyonunua kwa mil 50 na kawa kodishia ofisi mil 7...
Anajivunia kumleta maximo
Dialo . . . (huyu ndo Mmliki wa Star TV)
Wakulu JK yuko Jukwaani akiongea toka 5.50 PM.
Kaelezea mafanikio katika barabara, elimu na vivuko . . .
Anaendelea . . .
Umati wa watu ni mkubwa kiasi.
Pamoja naye namwona Msekwa na Bilali.
Nyuma yuko mpambe wake mwenye uniform. Ila kuna body guard wa ziada leo kasimama nyuma yake. Kavaa kaunda suiti long sleev . . .