Ndio maana c.c.m inazidi kupoteza wafuasi siku baada ya siku,kama wana c.c.m wenyewe ndio wenye akili kama zako kwa karne ya sasa,basi muda si mrefu c.c.m watakua wapinzani!Tanzania ya leo watu wenye mawazo na akili kama zako wanapungua sana siku hizi,watanzania wengi siku hizi wanakua waelewa sana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.