Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
cHaDeMa.......!!
Enyi wapinga maendeleo acheni hizo siasa chafu, mnawavamia wenzenu mkizania ni CCM......
CCM hakina asili ya vurugu na haitakuwa na vurungi, hivi vyote vinavyotokea ni matokeo ya upinzani ulio filisika kisiasa.
Siasa sio vurugu ndugu zangu, siasa ni apambanifu wa hoja tu, sasa nyinyi wapinga maendeleo (upinzani) msiojua kufanya siasa mnaigeuza na kuifanya uwanja wa mapambano.
Shame on you.
Naamini unajua kusoma, kwa hiyo soma (in fact kuna mpaka picha) kurasa za mbele za magazeti makini ya leo halafu uje tena hapa kuisifia ccm "isiyo na vurugu" gamba b.w.ege weee!