Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,353
Habari wanaJF,
Kama tunavyojua kuwa leo tarehe 5/03/2014 kikao cha Bunge la Katiba kinaendelea,itakuwa ni vyema tukiwa tunajulishana hapa jamvini ili kuweza kusaidia wadau wengine ambao hawana uwezo wa kuangalia moja kwa moja kwenye tv wajue kinachoendelea katika bunge la katiba.
Karibuni cha michango yenu.
Kama tunavyojua kuwa leo tarehe 5/03/2014 kikao cha Bunge la Katiba kinaendelea,itakuwa ni vyema tukiwa tunajulishana hapa jamvini ili kuweza kusaidia wadau wengine ambao hawana uwezo wa kuangalia moja kwa moja kwenye tv wajue kinachoendelea katika bunge la katiba.
Karibuni cha michango yenu.