wauwaji ni ccm na ngojeni mtamtambua huyo mungu wa chadema...ni swala la muda tu,
Hata yeye amekuwa na kiburi sana tokea kashinda ile kesi yake ya Ubunge dhidi ya Ghumbi. Mnyika kabadilika sana, sio yule wa siku zote.
Mkanda wa video utasema yote safi sana tutaona uongo wao wa kutupwa
Mkanda wa video utasema yote safi sana tutaona uongo wao wa kutupwa
Ajabu nyingine ni kuwa wanamwita mtu kutoa maelezo polisi wakati polisi walishuudia tukio lote, sasa sijui waliokuwepo mkutanoni walikuwa ni vipofu na viziwi?.Katika nchi za magharibi, ikiwa kutatokea kifo cha mtu yeyote wakati Polisi ndio wameshughulika na Ulinzi ktk mkutano halali ulopewa kibali basi kesi hufunguliwa kiongozi aliyekabidhiwa mamlaka ya kulinda maana mauaji yametokea chini ya ulinzi wake, lakini nashangaa sana kuona kwetu Tanzania wanakamatwa watu ambao walitakiwa kupewa ulinzi na wanajua wazi kwamba sii wao walioshiriki ktk mauaji..
Ikiwa Chadema waliufanya mkutano huu kinyume cha sheria, wakalazimisha mkutano kwa ulinzi wao dhidi ya matakwa ya sheria hapo ndipo tunaweza kuwalaumu lakini maadam walipewa ulinzi na bado mtu kauawa basi Polisi ndio wanatakiwa kujibu mashtaka haya.
swali kwa ujumla kama cdm mnajuwa kujenga hoja kwa nn mnategemea nguvu ya umma?
CCM ni wauaji.... wanataka kumpoteza mnyika kwa sababu amethubutu kusema JK ni dhaifu??
kwa hali ilivyo sasa CDM na wote wenye mapenzi mema na chama hiki lazima tuwe makini mno kwa kila hatua uzembe kidogo tu utakuwa na gharama kubwa mno.