Akidi haijatimia kufanya maamuzi ndugai analazimisha maamuzi yafanywe.
Member wengine wanaamka na kupost vituko kama Bi Kirobo anavyoongoza Bunge. jogi unafikiri kila mtu anaangalia hiyo sehemu ya mipasho, mbona husomeki hebu lete habari kamili sio unaanzia kati na kumalizia mwanzo.
Husomeki mwana
kwa mikono yangu ntahakikisha ccm hawaingii tena madrakani
Wakuu, kinachoendelea bungeni sasa hivi ni aibua nyingine...it is another sign of a very silly season. James Mbatia ametoa hoja na ikaungwa mkono na wabunge kuwa akidi ndani ya bunge haiko timamu. Haistahili wala haiwezi kupitisha bajeti. Alihesabu wabunge waliokuwemo hawazidi 110, kolamu inatakiwa kuwa almost 175.
Akili ya Ndugai haikubali kuliona hilo. Amelazimisha bunge liendelee kupitisha bajeti bila idadi inayostahili kuwepo bungeni. Hoja ya Mbatia imesisitizwa na Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu kwa kutumia kanuni ya 112 na 77. Pia Wabunge, Mkosamali na Machali walisisitiza.
Wakuu hii ni aibu nyingine kwa taifa hili. Bunge linachezea akili za Watanzania sasa. Bunge linafuja fedha za walipa kodi wazi wazi kabisa. Kanuni zinasiginwa waziwazi kwa manufaa ya serikali ya CCM. It is a disgrace to the entire parliamentary system. Ni aibu kw ataifa ikisimamiwa na Ndugai, ambaye leo ameonesha beyond repair kuwa ama hawezi kazi hiyo aliyoombwa agombee au amemua kuwa mlinzi namba moja wa chama chake bungeni.
Itakuwa ni aibu kubwa kwa Watanzania wote wanaoipenda nchi yao, kuendelea kunyamazia huu...it is beyond repair once again in life time with nyinyiemu.