Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Baada ya Mabaga sasa amepanda Juma Nature na Inspekta. Wanawachana Clouds kinoma
Clouds fm wanarusha live kutoka leaders, gangwe mob ndo wanaimba ila wanakatisha nyimbo coz watu wamepoa na wanagoma kuitikia wanapoambiwa say yooo!Leaders vipi? Au ndio hakuna kitu cha kuripoti?
Baada ya Mabaga sasa amepanda Juma Nature na Inspekta. Wanawachana Clouds kinoma
mkuu unachoongea ni cha kweli? nature na inspecta wapo ustawi?
Naona Dr. SLAA naye anaingia hapa akiwa na my waifu wake. Wamependeza sana kwakweli.
mambo ya vijana mmmh!ngoja tuwaachie wenyewe
Sogydogy ndo anatumbuza sasa hivi.Kapagawisha mbaya!
'Kapagawisha mbaya' ndiyo lugha ya mbunge hiyo? Kweli Ana Makinda ana kazi ngumu.