figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
wakuu huyu mkoloni ni noumer.kawasindikiza mapacha.namuona dan msimamo anaruka ruka kwa furaha...wanauliza mumekaa mkao gani..tumekaa mkao wa kula si mnaona hiz sura?bila shaka umeupata huu wimbo.piga kelele kwa ant-virus. sasa anaingia dan msimamo na wimbo wa siku nzuri inavyokwenda. wakuu chrg itakata si unajua leo hapa kinyama tumeshinda bila umeme? habari ndo hiyo. masela wamefurahi kinoma. ukiona kimya ujue ndo hivyo. mia