engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Haya jamani waliopo ktk ukumbi tupeni mambo nini kinaendelea ktk ukombozi wa wasanii walionyonywa kwa mda mrefu
Mi sijaenda kaka. Mpigie Rose Chitallah muulizie au waziri wa michezo times fm.
daaaausijali mkuu, nipo hapa millenium. mda mfupi ntaingia.ntawarusha hewani live na haka ka simu kangu ka mchina. tuonane pale. mia
usijali mkuu, nipo hapa millenium. mda mfupi ntaingia.ntawarusha hewani live na haka ka simu kangu ka mchina. tuonane pale. mia
jamani nipo mwanza fanyeni kunipa updates ka virus wamekua detected
Nami nipo Uwanjani kumsupport Kamanda Sugu.Kwa kweli watu wamejitahidi kuitikia wito na bado watu wanamiminika kwa wingi.Show yenyewe bado haijaanza bado wako kwenye trela.Leo pia Sugu atazindua KITABU chake Cha Muziki na Maisha,from the street to the Parliament,nikitabu kizuri sana,nilikisoma kidogo nilipokuwa Bungeni,Kinatia moyo wale waliokata tamaa ya kutoka.Kinauzwa sh elfu tano tu.Wahi Nakala yako.
Tupe tupeeeee...