<br />na wee kwa misifa hujambo hata kutualika wanachuo wenzako ile ya kiuwongo uwongo ukaona tutakuja kumaliza pilau;anyway hongera mwaya bora umeoa utatulia sasa!! usifungue tena zipu kwa mabinti wasiokuhusu
Benno kuna kitu ningesema kuhusu hii mada yako lakini nawaogopa kina mama wa MMU wasije wakakata nonino zangu,wakazikaanga na kuwatupia mbwa wa fildi fosi.
Benno kuna kitu ningesema kuhusu hii mada yako lakini nawaogopa kina mama wa MMU wasije wakakata nonino zangu,wakazikaanga na kuwatupia mbwa wa fildi fosi.
HAPO UMENENA KAKA. 2pamoja.ukiona jema ongea kama baya achana nalo. Usipunguze furaha yetu. Si umeona hatuja weka picha mbaya sasa mabaya yanatoka wapi? We pongeza tuu inatosha.. Mpaka kufikia hapo ni kazi kubwa ikiwemo ya kubeba ubaya
HAPO UMENENA KAKA. 2pamoja.
Kwa kweli bado sijajua hadija Maana yake nini
Ne nimanyi tuu Gaudensia
umeweka hapo ili upongezwe? au umkomoe mume mwenzako yule uliyemchukulia Hadija wake..