Ilikuwa siku ya furaha, mchozi mdogo mdogo ukimshuka na tabasamu lililoshuhudiwa na umati wa watu, pale alipobatizwa na kubadili jina akaitwa Gaudensia maana yake Guidence [ ataniongoza siku zote za maisha yangu], Jina la Hadija likasahaulika.
:A S-key::A S-key: Funguo hizi zikasogezwa na kufunga lile pingu ambalo linatetemesha na kushitua mioyo ya hawa wawili na kutoa kiapo mbele ya hekalu la mungu.
Furaha hii ni mwanzo wa mengi yampendezayo yeye akiyetupa uzima huu wa milele.
karibu tufurahi pamoja na tuombeane heri ya fanaka na maisha marefu
:A S-key::A S-key: Funguo hizi zikasogezwa na kufunga lile pingu ambalo linatetemesha na kushitua mioyo ya hawa wawili na kutoa kiapo mbele ya hekalu la mungu.
Furaha hii ni mwanzo wa mengi yampendezayo yeye akiyetupa uzima huu wa milele.
karibu tufurahi pamoja na tuombeane heri ya fanaka na maisha marefu
Attachments
-
Mrs Benno.JPG259 KB · Views: 243
-
Gaudencia.JPG276.4 KB · Views: 187
-
Efatha.JPG250.1 KB · Views: 144
-
Kwa Shida na raha.JPG265.5 KB · Views: 111
-
Mwanadamu hakitenganishi.JPG298.3 KB · Views: 143
-
Kubariki Pete.JPG299.4 KB · Views: 100
-
Mr & Mrs Benno & Padre1.JPG280.9 KB · Views: 151
-
Kwa Pete hii.JPG262.4 KB · Views: 108
-
Mr & Mrs Benno.JPG238.9 KB · Views: 908