Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,440
- 113,449
- Thread starter
- #141
With just two days to go, there is nothing new to say, yote yameishasemwa, sasa imebaki kukumbushana tuu, tulisema nini, nini kimefanyika, uchaguzi ndio keshokutwa Jumapili, nini kitafanyika siku hiyo, na baada ya hapo, tukutane tena wiki ijayo, au tupongezane, au tupeane pole!.Wanabodi,
CCM sasa ni "sikio la kufa..." na kama ni tunda, basi ni "lakuvunda..."
CCM imechokwa, Wananchi wameamka na sio watu wa kuswagwa na kupelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe!.
Chadema mkiamua, mnaweza!, njia kuelekea 2015, yaani njia ni nyeupe!, kilichobakia ni kujipanga kwa kupanga mipango mkakati na kuunda kikosi kazi kitakachokabidhiwa malengo na kujadili utekelezaji with time frame, 2015, Ikulu ya Magogoni ni yenu!.
Watanzania ni wale wale na CCM ni ile ile, na kuwa sio inachaguliwa kwa kupendwa, bali imekuwa ikichaguliwa kwa mazoea, maadam sasa imechokwa, hakuna namna ya kuiokoa, safari ya kuelekea kaburini imewadia, kilichobakia ni kusubiria tuu itakufa kifo gani!.
Namalizia kwa kuipongeza sana Chadema, ushindi ni ushindi tuu, ni mtamu!, always sweet victory, "the winner takes it all, the looser standing small!".
Hongereni sana Chadema.
Pasco.
Nchi hii inaweza tuu kubadilishwa kwa watu wenye uthubutu wa kuchukua maamuzi magumu, na kusimama wahesabiwe!.
I'm very proud kuwa ni mmoja wa wapiga kura hiyo Jumapili.
Haya shime kwa wote waliojiandikisha, tujitokeze kwa wingi, tuitumie haki yetu ya kidemokrasia kujichagulia viongozi wetu,
We have to choose our leaders and love our choices and live with or without!.
Pasco