Yametimia!, CCM Imechokwa!, CHADEMA Njia Nyeupe 2015!-Jipangeni!

Nimetokwa machozi jana baada ya kupata ushindi sumbawanga mjini...ccm walitunyanyasa sanaa kwakutufanya sie ni mazombi wanakuja chukua kura na kuondoka sasa wafipa wamesema basi inatosha...

Haijawahi tokea ccm kugaragazwa kiasi hiki ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, tangu nianze kupiga kura ndo marayangu ya kwanza nachagua serikali za mitaa huwa tunawaachia wajichague wenyewe...

Sasa watu wameamka na mwamko ni mkubwa sanaa...

UKAWA, naomba msilale uzi ni huo huo fanyenyi kampeni ya kuwaelimisha watu mpaka kieleweke mwakani...

Viva mapinduzi viva ukawa daima...

Walaaniwe wote wanaotetea majizi ccm
 
PASCO acha ushabiki:

siku nikisikia CHADEMA imeshinda kwenye mikoa inayo matter ki population, elimu, pesa, media na influence (by that I mean MBEYA, IRINGA, MWANZA , ARUSHA ndio ujue CCM safari ya kuondoka imewadia). As long as CCM imejizatizi mikoa hiyo then wataendelea kututawala miaka 100 ijayo
 
All green every thing...
 

Attachments

  • 1418625855299.jpg
    1418625855299.jpg
    20.6 KB · Views: 762
  • 1418625877639.jpg
    1418625877639.jpg
    44.6 KB · Views: 805
  • 1418625907324.jpg
    1418625907324.jpg
    23.3 KB · Views: 700
  • 1418625924959.jpg
    1418625924959.jpg
    11 KB · Views: 677
  • 1418625962977.jpg
    1418625962977.jpg
    50.4 KB · Views: 650
Nadhani muda muafaka wa kuzaliwa upya kwa chama cha kweli cha mapinduzi unakaribia. Hiki chama kilichovamiwa na mabwanyenye, wanyonyaji na makupe waliovalia magwanda ya kijani kitakapoondoka ndio tutapata chama chetu cha kweli cha UJAMAA na KUJITEGEMEA kitakachosukuma mbele maendeleo ya nchi. Just thinking aloud.
 
Uliyoyasema yameanza kutimia!.

Pasco

Angalizo: Pasco wa Jamii Forums ni political commentator ambaye yuko objective, bila kuegemea chama chochote, upande wowote na hufanya kazi kwa wote, ila ni muumini wa demokrasia ya kweli ndani ya bunge for the balance of power, hivyo nashangilia sana kambi ya upinzani kuingiza vichwa 100 bungeni, ni matumaini yangu, 2015 kazi itakamilishwa
Pasco bana!
 
Last edited by a moderator:
PASCO acha ushabiki:

siku nikisikia CHADEMA imeshinda kwenye mikoa inayo matter ki population, elimu, pesa, media na influence (by that I mean MBEYA, IRINGA, MWANZA , ARUSHA ndio ujue CCM safari ya kuondoka imewadia). As long as CCM imejizatizi mikoa hiyo then wataendelea kututawala miaka 100 ijayo

Mwanza ipi ww
 
Wtz bado tunakihitaji sana CCM kuleta maisha bora kwetu. Ila njia nzuri kwa CCM kufanya hivyo ni kuwa chama cha upinzani!!! CCM kitakuwa chama bora sana cha upinzani ambacho kitaisimamia kweli kweli serikali ijayo kuhakikisha inatekeleza matakwa na mategemeo ya wananachi. kwa uzoefu wao wa kuwa madarakani CCM kitawafanya watawala wapya wasilale waendelee kujipanga na kuhakikisha wanafanya yale ambayo wananchi wanayatarajia kutoka kwenye serikali mpya. na hicho ndicho kitafanya maisha yetu yazidi kupaa watz. Ni vizuri CCM ikaanza kujipanga kama chama pinzani ili kije kutusaidia watz....Asanteni watz kwa kuona njia ya maendeleo iko wapi na inapatikanaje!! kwa heri CCM madarakani na karibu kwenye upinzani.
 
mimi sina cham hata kazi yangu hainiruhusu kuwa na chama ila
moyoni mwangu napenda mageuzi napenda chadema wana sera nzuri
siwezi kujivunia CCM kwa vile serikali yao inanipa mkate lkn wananchi wakifa na njaa wachache wakifaidi
kwa kweli CCM imechoka,wananchi wameamka na nina Imani kaburi lao litawekwa zege 2015.
viva chadema viva watanzania amkeni kumekucha.
Pasco naamini moyoni mwako uko na chadema na umekuwa mwazi

Hata mimi nimefurahi sana kwa mageuzi haya makubwa yanayokuja.Mungu acha kweli yako izidi kutuweka huru na kufunua uovu wote kila mtu awajibike kwa matendo yake.
 
CCM hakiwezi kuwa chama bora, hadi kitakapokuwa chama cha upinzani. Kwa wanaoipenda CCM waisaidie kwa kuitoa madarakani.
Viva Ukawa, ukombozi umebisha hodi.
Ova
 
...vijana ndio watakaoleta mabadiliko ya taifa hili na ndio inatakiwa iwe focus ya UKAWA kuanzia sasa....kwa maana ya kuhakikisha wanajiandikisha mapema kwa daftari la kura....maana kwenye population ya TZ vijana ni asilimia kubwa....Pia wafanyakazi wa taifa hili ni nyenzo muhimu kuitoa ccm madarakani ...maana ndio wanaotaabika kwa kuifanyia kazi serikali hii ya mafisi....Wafanyakazi na vijana wa TZ kwa ujumla wao wanaweza kuitoa ccm madarakani hapo 2015....na hili litakua hivyo....maana watu wamechoshwa na mafisi wa huko ccm....Upepo huu wa mageuzi TZ hautabadilika na utaendelea....sana sana unaweza kucheleweshwa lakini hauzuiliki....Watawala wajifunze huko nchi za kaskazini waliofanya mageuzi ni kina nani....nadhani wanajua ni vijana na wafanyakazi waliochoshwa na udhalimu wa watawala......hili ndilo linatokea TZ ya sasa.....Na haya majanga kama escrow ni vichochezi tu.....Lazima ccm ing'oke hapo 2015...kama si kwa kura itakua kwa nguvu ya umma....Hili haliepukiki..maana ccm hawatakubali kushindwa kirahisi....Jakaya hakika ataondoka na ccm yake madarakani....mwacheni aendelee kuwakumbatia wezi....akija kushtuka ccm haiko madarakani...
 
Nadhani muda muafaka wa kuzaliwa upya kwa chama cha kweli cha mapinduzi unakaribia. Hiki chama kilichovamiwa na mabwanyenye, wanyonyaji na makupe waliovalia magwanda ya kijani kitakapoondoka ndio tutapata chama chetu cha kweli cha UJAMAA na KUJITEGEMEA kitakachosukuma mbele maendeleo ya nchi. Just thinking aloud.

Ili CCM hii izaliwe upya lazima ife kwanza ndipo izaliwe mpya, ikue, ipevuke, ndipo ishike upya madaraka.

Vv
 
Huo uongozi umefanikisha haya ungependa kusikia chokochoko cdm ukawa ndo ufurahi? bila fulani kuwepo itaonekana ukabila hiyo hoja ya kitoto mbona act imeanzia kigoma ni ukabila? la hasha chama lazima kianzie sehemu flani mara nyingi pale anapotoka muasisi hamna ukabila wala udini hata cuf huwezi kusema ni wadini kwa kuwa wanakubalika maeneo ya pwani bali chama lazima kiwe na base naweza kuwa mkuria wakuria wakaniunga mkono wengine kwa sababu ya kabila langu je niwafukuze.Combination ya mbowe na slaa inatengeneza ukuta usiopenyeka kirahisi hawa wana umri na ukomavu mkubwa kisiasa na ni majasiri acha waongoze chama mpaka atakapopatikana mkomavu mwingine kuongoza chama kikuu cha upinzani kuna changamoto nyingi ambazo wakikusimulia utakataa kuitwa mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom