Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,179
Wanabodi,
CCM sasa ni "sikio la kufa..." na kama ni tunda, basi ni "lakuvunda..."
CCM imechokwa, Wananchi wameamka na sio watu wa kuswagwa na kupelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe!.
Chadema mkiamua, mnaweza!, njia kuelekea 2015, yaani njia ni nyeupe!, kilichobakia ni kujipanga kwa kupanga mipango mkakati na kuunda kikosi kazi kitakachokabidhiwa malengo na kujadili utekelezaji with time frame, 2015, Ikulu ya Magogoni ni yenu!.
Watanzania ni wale wale na CCM ni ile ile, na kuwa sio inachaguliwa kwa kupendwa, bali imekuwa ikichaguliwa kwa mazoea, maadam sasa imechokwa, hakuna namna ya kuiokoa, safari ya kuelekea kaburini imewadia, kilichobakia ni kusubiria tuu itakufa kifo gani!.
Chadema ijipangeje?.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!
Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!
Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni .....!
Namalizia kwa kuipongeza sana Chadema, ushindi ni ushindi tuu, ni mtamu!, always sweet victory, "the winner takes it all, the looser standing small!".
Hongereni sana Chadema.
Pasco.
CCM sasa ni "sikio la kufa..." na kama ni tunda, basi ni "lakuvunda..."
CCM imechokwa, Wananchi wameamka na sio watu wa kuswagwa na kupelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe!.
Chadema mkiamua, mnaweza!, njia kuelekea 2015, yaani njia ni nyeupe!, kilichobakia ni kujipanga kwa kupanga mipango mkakati na kuunda kikosi kazi kitakachokabidhiwa malengo na kujadili utekelezaji with time frame, 2015, Ikulu ya Magogoni ni yenu!.
Watanzania ni wale wale na CCM ni ile ile, na kuwa sio inachaguliwa kwa kupendwa, bali imekuwa ikichaguliwa kwa mazoea, maadam sasa imechokwa, hakuna namna ya kuiokoa, safari ya kuelekea kaburini imewadia, kilichobakia ni kusubiria tuu itakufa kifo gani!.
Chadema ijipangeje?.
CCM Imechokwa, CHADEMA Haijajipanga!
Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If...!
Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni .....!
Namalizia kwa kuipongeza sana Chadema, ushindi ni ushindi tuu, ni mtamu!, always sweet victory, "the winner takes it all, the looser standing small!".
Hongereni sana Chadema.
Pasco.