Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
Jamani leo nilienda
bank kuweka vijisenti
mbuzi vyangu pale exim tawi la ubungo,
nilipigwa butwaa kukuta account yangu
imefungwa eti ilikuwa
haitumiki wakt mara ya mwisho kuweka
vijisent vyangu ni tarehe 9.01.2012! Pale buguruni,nimeshindwa
kuwaelewa hawa kuchkuch wameniibia
ama wana mpango gan na mie,upuuzi gan huu
majuz nimekuta
wamenikata karibu 8000 ! Na sielewi kwanini zilikatwa,
leo imefungwa kabisa
na sijawah toa hela
kwa muda wa karibia
miez 6 naweka tu..
Hivi naweza ishtaki hii bank? Msaada plz
bank kuweka vijisenti
mbuzi vyangu pale exim tawi la ubungo,
nilipigwa butwaa kukuta account yangu
imefungwa eti ilikuwa
haitumiki wakt mara ya mwisho kuweka
vijisent vyangu ni tarehe 9.01.2012! Pale buguruni,nimeshindwa
kuwaelewa hawa kuchkuch wameniibia
ama wana mpango gan na mie,upuuzi gan huu
majuz nimekuta
wamenikata karibu 8000 ! Na sielewi kwanini zilikatwa,
leo imefungwa kabisa
na sijawah toa hela
kwa muda wa karibia
miez 6 naweka tu..
Hivi naweza ishtaki hii bank? Msaada plz