Yameishia wapi???

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
928
DSC02599.JPG


DSC02595.JPG

lukuvi-2.jpg

Mchungaji Mstaafu Ambilikile Masapile akimpa dawa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) William Lukuvi na Rosemary Nyerere baada ya Lukuvi kumaliza kuukagua mtu unaozalisha dawa hiyo.
Buke%2BNyamangwa.jpg


DSC00153.JPG

loliondo7.jpg


Mchungaji Mstaafu Mwaisapile akipokea zawadi ya simu ya Mkononi kutoka airtel. anayemkabidhi ni meneja wa biashara wa Airtel Mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu. Kulia DC wa Ngorongoro, Mh. Elias Lala Wawi

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Bw Elias Wawa Lali (katikati), Diwani wa Kata ya Samunge, Bw Jackson Sandea (kulia), Meneja Biashara wa Airtel mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu
194447_150870264972593_100001488627418_287072_7695442_o.jpg


loliondo1.jpg
 
ilikuwa dawa ya kuwafanya wawe legelege
ndo maana mambo hayaendi

Moshi wa Mwenge nao unamalizia kwa kuwafanya mazezeta wa kifikra ili rasilimali za Taifa ziondoke mchana kweupeee huku tukitazama, tukijitahidi sana tuna andamana kisha tunarudi nyumbani!
 
Moshi wa Mwenge nao unamalizia kwa kuwafanya mazezeta wa kifikra ili rasilimali za Taifa ziondoke mchana kweupeee huku tukitazama, tukijitahidi sana tuna andamana kisha tunarudi nyumbani!

yAANI TUISHIE KUWAZA "U-CAMERON"
 
Moshi wa Mwenge nao unamalizia kwa kuwafanya mazezeta wa kifikra ili rasilimali za Taifa ziondoke mchana kweupeee huku tukitazama, tukijitahidi sana tuna andamana kisha tunarudi nyumbani!

Hili nalo neno!
 
DSC02599.JPG


DSC02595.JPG

lukuvi-2.jpg

Mchungaji Mstaafu Ambilikile Masapile akimpa dawa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu) William Lukuvi na Rosemary Nyerere baada ya Lukuvi kumaliza kuukagua mtu unaozalisha dawa hiyo.
Buke%2BNyamangwa.jpg


DSC00153.JPG

loliondo7.jpg


Mchungaji Mstaafu Mwaisapile akipokea zawadi ya simu ya Mkononi kutoka airtel. anayemkabidhi ni meneja wa biashara wa Airtel Mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu. Kulia DC wa Ngorongoro, Mh. Elias Lala Wawi

Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Bw Elias Wawa Lali (katikati), Diwani wa Kata ya Samunge, Bw Jackson Sandea (kulia), Meneja Biashara wa Airtel mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu
194447_150870264972593_100001488627418_287072_7695442_o.jpg


loliondo1.jpg
Nguvu ya Soda Pespi kola.........
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom