MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Jamaa fulani ana karibia kuoa. Wenzie wanamshawishi akajirushe kwa mara ya mwisho maana baada ya hapo atakua "mfungwa". Kwa hiyo jamaa anatoka usiku na washikaji zake. Mida ya usiku sana imefika anaingia kwenye nyumba inayo uza wasichana/wanawake. Anaingizwa kwenye chumba na "mama mwenye nyumba" ana muahidi kumletea "bidhaa" achagua. Wakaingia wasichana warembo watano. Jamaa kuinua kichwa ana kutana uso kwa uso na Mrs. mtarajiwa(mchumba wake). The story goes on lakini swali langu ni je ingekua wewe ungefanyaje(kama wewe ni huyo mwanaume au huyo binti)? Je hapo ni kusameheana tu kwa ajili wote ni wakosaji au kuvunja mipango ya ndoa? Mkivunja ndoa mtatoa sababu zipi?