regam
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 269
- 51
Mabomu goms yalipangwa
Kuna nyeti (msiniulize source) kwamba mabomu yaliyolipuka ilikuwa planned! Inasemekana kwamba baada ya ile ripoti ya mbagala, ilionekana kuna mabomu mengi yako pale lugalo ambayo yalikuwa yanakaribia kulipuka. Hivyo yalihamishiwa gongolamboto na kuwekwa kwenye underground storage.
Kilichokuwa kinafuata ilikuwa ni kutafuta namna ya kuya detonate ambapo wanasema gharama ya kuyalipua (utaalamu) ni kubwa mno. Inavyosemekana ni kwamba hiyo underground storage ina system fulani ya vents(fan) zinazoendeshwa na umeme. Sasa nasikia tangu majuzi umeme ulikatika Goms ni hivyo kusababisha joto kali liliyofanya hayo mabomu kuonyesha dalili ya kulipuka.
Habari hiyo inaongeza kuwa kuna kikosi maalumu kilikwenda kutaka kuyachambua yaliyokuwa na dalili za kulipuka lakini muda ulikuwa umewatupa mkono. Kwa hiyo kuna uwezekano wajeshi wengi tuu wamekufa. Kama mtakumbuka, leo mkwere alikwenda eneo la tukio kwa sababu alikuwa na uhakika wa usalama kwamba hakuna yaliyosalia. Na kama wale walioshuhudia jana yalipokuwa yanalipukaan yalikuwa yanaelekea pande mbili yaani kisarawe na uelekeo wa baharini.
Kwa hiyo wana jf ukweli ni kwamba hii ishu imetokea ni kwa sababu ya uzembe uliokidhiri kwa sababu kama walijua yanalipuka muda si mrefu yangehamishiwa kambi za mbali badala ya kuyahamishia goms.
Nawasilisha
Kuna nyeti (msiniulize source) kwamba mabomu yaliyolipuka ilikuwa planned! Inasemekana kwamba baada ya ile ripoti ya mbagala, ilionekana kuna mabomu mengi yako pale lugalo ambayo yalikuwa yanakaribia kulipuka. Hivyo yalihamishiwa gongolamboto na kuwekwa kwenye underground storage.
Kilichokuwa kinafuata ilikuwa ni kutafuta namna ya kuya detonate ambapo wanasema gharama ya kuyalipua (utaalamu) ni kubwa mno. Inavyosemekana ni kwamba hiyo underground storage ina system fulani ya vents(fan) zinazoendeshwa na umeme. Sasa nasikia tangu majuzi umeme ulikatika Goms ni hivyo kusababisha joto kali liliyofanya hayo mabomu kuonyesha dalili ya kulipuka.
Habari hiyo inaongeza kuwa kuna kikosi maalumu kilikwenda kutaka kuyachambua yaliyokuwa na dalili za kulipuka lakini muda ulikuwa umewatupa mkono. Kwa hiyo kuna uwezekano wajeshi wengi tuu wamekufa. Kama mtakumbuka, leo mkwere alikwenda eneo la tukio kwa sababu alikuwa na uhakika wa usalama kwamba hakuna yaliyosalia. Na kama wale walioshuhudia jana yalipokuwa yanalipukaan yalikuwa yanaelekea pande mbili yaani kisarawe na uelekeo wa baharini.
Kwa hiyo wana jf ukweli ni kwamba hii ishu imetokea ni kwa sababu ya uzembe uliokidhiri kwa sababu kama walijua yanalipuka muda si mrefu yangehamishiwa kambi za mbali badala ya kuyahamishia goms.
Nawasilisha