Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
Muundo wa hiyo kamati kuu itafikiri unasoma kamati ya CCM.
Kwanini vyama vya upinzani viige muundo ule ule wa CCM? Ningetegemea hii kamati ingelikuwa na watu wachache sana ambao ndio wangelikuwa vichwa wa CHADEMA.
Mafanikio mema kamati kuu mpya ya CHADEMA.
Mkulima labda watu wanashindwa kuelewa, huo muundo sio tija wala ni kusema wanaiga CCM.
CCM ni kitu kingine kabisa ni systems yenye roots na kuna kautaratibu kanakofanya kazi, pamoja na misukosuko yote ya CCM kwa kipindi hichi cha karibuni chama hicho bado kipo na kina nguvu kw sababu ya hiyo roots ninayoizungumza
NCCR iliyumba kwa anguko kubwa kwa sababu haikuwa na roots, sasa Chadema nadhani ni muda muafaka kutengeneza roots na sio kukopi mambo ya CCM, inabidi chama kiangalie kinahitaji nini na kianze na base hapo, kama chama kimejaa wasomi na maprof kwa nini wanshindwa kutengeneza kitu ambacho sio kama cha CCM, kwani vyama vyote ni lazima viwe na mfumo mmoja wa uongozi?